Tag: mahakama
- by T L
- March 7th, 2022
Mwenye baa kuendelea na kifungo kwa kuua mpenziwe
NA RICHARD MUNGUTI MMILIKI wa baa mtaani Buruburu aliyemuua mpenziwe miaka minane iliyopita ataendelea kusalia ndani baada ya Mahakama...
- by T L
- January 17th, 2022
Mahakama yakataa kuzima uchunguzi wa ndimi za sumu
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA kuu imekataa kusitisha agizo watatu wachunguzwe kwa kueneza chuki cha kikabila. Hata hivyo Jaji Jairus...
- by T L
- December 11th, 2021
Mahakama yasimamisha mazishi ya watu 5 waliouawa kinyama
Na GEORGE MUNENE MAZISHI ya watu watano wa familia moja waliouawa kwa kukatwakatwa katika kijiji cha Gathata, Kaunti ya Kirinyaga,...
Masaibu yalivyomwandama Jaji Muchelule kwa miaka 14
Na RICHARD MUNGUTI JAJI wa Mahakama Kuu, Aggrey Muchelule amekuwa akikumbwa na masaibu tele kwa zaidi ya miaka 14 iliyopita.Jaji...
Majaji wanaswa
STEVE OTIENO na WANDERI KAMAU MAJAJI wawili wa Mahakama Kuu jana walikamatwa na kuhojiwa katika Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) pamoja...
Korti yacharaza Uhuru kiboko mara nyingine ikisema alipuuza Katiba
Na RICHARD MUNGUTI RAIS Uhuru Kenyatta amepata pigo jingine katika maamuzi yake baada ya Mahakama Kuu jana kufutilia mbali uteuzi wa...
Mchakato wa kumsaka mrithi wa Maraga kuanza Jumatatu
Na RICHARD MUNGUTI MCHAKATO wa kumsaka Jaji Mkuu wa tatu tangu Katiba mpya ya 2010 izinduliwe utaanza rasmi Jumatatu...
Serikali yaonywa dhidi ya kuhujumu mahakama
Na GEORGE ODIWUOR KAMATI ya Kuangazia Utekelezaji wa Katiba Nchini na Mahakama Kuu zimeonya kuwa huenda Kenya ikajipata pabaya ikiwa...
Majopo 15 yaliyoundwa na Rais yavunjwa na mahakama
Na RICHARD MUNGUTI MAJOPO 15 ambayo wanachama wake waliteuliwa na Rais Uhuru Kenyatta na mawaziri mbalimbali yatafutiliwa mbali kufuatia...
Kesi za ufisadi za Sh224 bilioni zimekwama kortini – Haji
Na BENSON MATHEKA Kesi 135 za ufisadi zinazohusu uporaji wa Sh224 bilioni pesa za umma, zinaendelea katika mahakama tofauti nchini,...
Pigo kwa Bunge huku mahakama ikizima sheria 23
Na JOSEPH WANGUI MAHAKAMA Kuu imebatilisha Sheria 23 zilizopitishwa na Bunge la Taifa bila mchango wa seneti, ikisema zimekiuka...
- by adminleo
- June 20th, 2020
Wanasiasa waanza harakati za kusaka mrithi wa Maraga
Na BENSON MATHEKA KAMPENI kali inaendelea chini kwa chini kumtafuta mrithi wa Jaji Mkuu David Maraga anayetarajiwa kustaafu mapema mwaka...