• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 5:10 PM

Ajipata taabani kwa kuiba vipuri vya gari la Jaji Mkuu David Maraga

NA RICHARD MUNGUTI Waliosema mchovya asali hachovyi mara moja hawakukosea kwani mshukiwa wa vipuri vya magari ya Serikali alijipata...

Zaidi ya kesi 3,000 kuamuliwa siku 14 zijazo

Na BENSON MATHEKA ZAIDI ya kesi 3000 zitaamuliwa katika muda wa siku 14 zijazo huku Mahakama ikikumbatia teknolojia kuepuka msongamano...

Motoni kwa kumpiga na kumng’oa meno binamu ya Maraga

Na JOSEPH NDUNDA MWANAMUME aliyempiga binamu ya Jaji Mkuu David Maraga na kumng’oa meno matatu wakizozania watoto, Jumanne alipatikana...

JSC yakutana kusaka mrithi wa Maraga

Na JOSEPH WANGUI TUME ya Huduma za Mahakama (JSC) Jumatano inatarajiwa kuandaa kikao kujadili masuala nyeti kuhusu Mahakama ya Juu na...

Maraga, Matiang’i na Haji kukutana kujadili mageuzi katika kesi za ufisadi

Na BENSON MATHEKA JAJI Mkuu David Maraga, Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang’i na Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP0, Noordin...

TAHARIRI: Idara ya mahakama itengewe pesa zaidi

NA MHARIRI MOJAWAPO ya vigezo vinavyotumika na nchi zilizostaaratibika kuamua iwapo zitawekeza katika taifa fulani au la ni hali ya...

Uhuru amcheka Maraga kuhusu masaibu kortini

VALENTINE OBARA na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta Jumanne alishindwa kuficha hisia zake kuhusu Idara ya Mahakama, siku moja tu...

Maraga adai Ikulu ina njama ya kumng’oa mamlakani

Na VALENTINE OBARA JAJI Mkuu David Maraga amelalamikia kudharauliwa na maafisa serikalini, ambao amedai wanapanga njama katika Afisi ya...

Jubilee yaadhibu Maraga?

Na BENSON MATHEKA HATUA ya Serikali kupunguza bajeti ya Mahakama imesababisha hisia kali huku wengi wakiitaja kama kutimiza vitisho...

WANGARI: Mahakama zitumie teknolojia kuimarisha huduma zao

NA MARY WANGARI Hivi majuzi, Jaji Mkuu David Maraga alifichua kwamba mahakama zimefanikiwa kupunguza mrundiko wa kesi zilizodumu kwa...

Maraga ahimiza Wakenya kuwafichua maafisa fisadi

Na WACHIRA MWANGI JAJI Mkuu David Maraga amewaomba Wakenya watoe ushahidi dhidi ya majaji au mfanyakazi yeyote wa mahakama...

Maraga akiri majaji wamezembea kuamua kesi

Na MISHI GONGO JAJI Mkuu David Maraga Jumatatu alikiri idara anayosimamia inajikokota katika kuamua kesi. Hii ni baada ya lawama...