Tag: mauaji
- by adminleo
- June 18th, 2020
Kazi ya uchifu yaepukwa Lamu kutokana na mauaji
KALUME KAZUNGU na MISHI GONGO WAKAZI wa vijiji vya Kaunti ya Lamu ambavyo vimekuwa vikishuhudia mauaji ya mara kwa mara ya maafisa wa...
- by adminleo
- June 10th, 2020
Washukiwa watano wa mauaji ya polisi wakamatwa Lamu
Na KALUME KAZUNGU WASHUKIWA watano wametiwa mbaroni kuhusiana na mauaji ya afisa wa polisi katika kijiji cha Tchundwa, Kaunti ya Lamu...
- by adminleo
- June 8th, 2020
Diwani motoni kuhusu kifo cha mkewe
NICHOLAS KOMU Diwani mmoja katika Kaunti ya Nyeri alijipata mashakani huku akilazimika kujibu kuhusu kifo cha mkewe. Mwili wa mkewe...
- by adminleo
- June 7th, 2020
Abambwa baada ya kumuua mwanawe
NA WYCLIFFE NYABERI Polisi katika Kaunti ya Nyamira walimkamata jamaa mmjoja kwa kosa la kumuua mwanawe wa kike mwenye umri wa miaka 4...
- by adminleo
- June 4th, 2020
Polisi wageuka makuhani wa mauti wakati huu wa janga la corona
MARY WAMBUI na BENSON MATHEKA FAMILIA ya Yassin Moyo ingali na majonzi tangu ilipompoteza mnamo Machi 31 baada ya kupigwa risasi tumboni...
- by adminleo
- May 25th, 2020
Mwili wa msimamizi wa majanichai wapatikana kando ya barabara
NA MWANDISHI WETU Wakazi wa Kirinyaga wameachwa na mshuto baadaya ya mfanyikazi wa kiwanda cha majani chai kupatikana ameuwawa na mwili...
- by adminleo
- May 13th, 2020
Mwanamke azuiliwa akikabiliwa na shtaka la kumuua mumewe kwa sababu ya deni la Sh1,700
Na RICHARD MUNGUTI MAMA wa watoto watano alifikishwa mahakamani kwa madai alimuua mumewe kwa sababu ya deni la Sh1,700. Susan Kawira...
- by adminleo
- May 12th, 2020
Mahakama yaagiza mshukiwa wa pili katika mauaji ya mtangazaji azuiliwe kwa siku tisa
Na RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA wa pili katika mauaji ya mtangazaji wa kituo cha redio cha Pamoja FM amefikishwa kortini. Juma Hussein...
- by adminleo
- May 10th, 2020
Polisi kizimbani kwa madai ya kuua mtu wakati wa kafyu
Na RICHARD MUNGUTI AFISA wa Polisi alishtakiwa kwa mauaji ya mkazi wa mtaa wa Mathare, Kaunti ya Nairobi wakati wa kushika doria za...
- by adminleo
- May 4th, 2020
Simu ya kifo
Na RICHARD MUNGUTI SIMU ya saa tano usiku wa Aprili 17, 2020, kutoka kwa mwanamke ilisababisha mauti ya mume wa Zaitun Abdul, mahakama...
- by adminleo
- May 4th, 2020
Ashtakiwa kumuua mpenziwe kwa kutofautiana nani alifaa kuosha vyombo
Na RICHARD MUNGUTI MWANADADA mwenye umri wa miaka 24 ameshtakiwa kwa kumuua mpenziwe walipotofautiana kuhusu ni nani aliyefaa kuosha...
- by adminleo
- April 26th, 2020
Mwanamke anayeshtakiwa kumuua mpenziwe azuiliwa
Na Richard Munguti Mwanamke mwenye umri wa miaka 28 ameagizwa azuiliwe hadi Mei 2 kuhojiwa kwa mauaji ya mpenziwe. Zeitun Abdul...