Tag: MBADI
- by adminleo
- July 9th, 2020
Majina ya wanakamati bungeni kuidhinishwa Jumanne
Na CHARLES WASONGA BUNGE la Kitaifa litafanya kikao maalum Jumanne kuidhinisha majina wa wabunge waliopendekezwa kuhudumu katika nafasi...
- by adminleo
- July 7th, 2020
MBADI na Kimunya bado hawaelewani kuhusu uanachama bungeni
Na CHARLES WASONGA VUTA nikuvute kuhusu uteuzi wa wanachama wa kamati mbili za bunge Jumatatu iliendelea kutokota chama cha ODM kiliibua...
- by adminleo
- December 1st, 2019
Mbadi ajitosa kwa ubishi wa kurithi Gavana Awiti
Na GEORGE ODIWUOR MWENYEKITI wa ODM John Mbadi amejiingiza katika mjadala kuhusu urithi wa Gavana wa Homa Bay Cyprian Awiti huku...
- by adminleo
- November 18th, 2019
ODM yashukuru Rais kuhusu BBI
NA JUSTUS OCHIENG' CHAMA cha ODM kimepongeza Rais Uhuru Kenyatta kutokana na kauli yake kuhusu ripoti ya Jopokazi la Maridhiano (BBI) na...
- by adminleo
- March 15th, 2019
Mbadi atofautiana na Orengo
Na CHARLES WASONGA MWENYEKITI wa ODM John Mbadi amepuuzilia madai ya Seneta wa Siaya James Orengo kwamba kiongozi wa chama hicho Raila...
- by adminleo
- September 25th, 2018
Siogopi kuvuliwa mamlaka, Mbadi aambia wabunge wanaomtishia
Na MWANDISHI WETU KIONGOZI wa wachache katika Bunge la Kitaifa John Mbadi amewataka wabunge wa upinzani wanaomkashifu kutokana na...
- by adminleo
- September 24th, 2018
Juhudi za kumng’oa Spika Muturi, Duale na Mbadi zaanza
Na WAANDISHI WETU WABUNGE waliowakaidi Rais Uhuru Kenyatta na Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga kuhusu Mswada wa Fedha wa 2018, sasa...
- by adminleo
- May 16th, 2018
Waliotajwa kwa sakata ya NYS wajiuzulu wasitatize uchunguzi – Mbadi
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta Jumatano ametakiwa kuwauliza maafisa waliotajwa katika kashfa ambapo Sh9 bilioni zilipotea katika...
- by adminleo
- April 18th, 2018
Kujiuzulu kwa Chebukati kutampa mwanya Chiloba kurejea IEBC – John Mbadi
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa wachache katika Bunge la Kitaifa John Mbadi Jumatano amepinga shinikizo za kumtaka mwenyekiti wa Tume...
- by adminleo
- April 8th, 2018
ODM mbioni kuimarisha umaarufu Magharibi
BARACK ODUOR na GAITANO PESSA CHAMA cha ODM kiko mbioni kuhakikisha kimedumisha umaarufu wake eneo la Magharibi baada ya wanasiasa...