Tag: MKOJO
- by T L
- May 17th, 2022
MUME KIGONGO: Damu kwenye mkojo inaweza kuwa dalili ya maradhi kibao
NA LEONARD ONYANGO UNAPOENDA haja ndogo na kukojoa damu unafaa kuwa na wasiwasi kwani inaweza kuwa dalili ya maradhi hatari. Magonjwa...
Biashara ya mkojo wa wajawazito yanoga TZ
Na MWANDISHI WETU MKOJO wa wajawazito umegeuka biashara kubwa Tanzania baada ya kusemekana kuwa na uwezo wa kutibu magonjwa ya...
- by adminleo
- April 8th, 2020
Polo aliyekojoa kitandani ajuta
Na TOBBIE WEKESA BUSIADA, BUSIA MWANADADA wa hapa aliwafanya wakazi kucheka kwa kumlazimisha mumewe mlevi kuanika malazi aliyolowesha...
- by adminleo
- January 17th, 2019
AKILIJIBU: Naomba kujua manufaa ya mkojo wa sungura
SWALI: Ninaitwa GODWIN BARAKA kutoka Cheptiret, Eldoret. Mimi ni mkulima mdogo na ninahitaji kujifunza kutoka kwenu. Ninafuga sungura na...
- by adminleo
- August 6th, 2018
Wanandoa wanyweshwa mkojo kwa kuoana kisiri
Na MASHIRIKA MADHYA PRADESH, INDIA MWANAMUME na mke wake walitekwa nyara wakapigwa na kulazimishwa kunywa mkojo na familia ya mke huyo...
- by adminleo
- March 7th, 2018
Polo aachilia mkojo ndani ya basi safarini
Na TOBBIE WEKESA TULIENGE, BUNGOMA ABIRIA waliokuwa wakisafiria basi moja walipigwa na mshangao baada ya polo kuachilia mkojo ndani...