Tag: NASA
- by T L
- December 14th, 2021
Nasa ulikuwa muungano wa kusaka uongozi 2017, asema Junet
Na SAMMY WAWERU MBUNGE wa Suna Mashariki, Junet Mohammed amesema National Super Alliance (Nasa) ni muungano uliobuniwa kwa minajili ya...
Msajili wa Vyama avunjilia mbali NASA
Na LEONARD ONYANGO MSAJILI wa Vyama vya Kisiasa, Ann Nderitu amevunja rasmi muungano wa National Super Alliance (NASA) uliojumuisha...
Uhuru mbioni kufufua Nasa
Na VALENTINE OBARA RAIS Uhuru Kenyatta, Jumanne aliendelea na mikutano yake ya kisiri na vigogo wa kisiasa wanaokamia kumenyana na naibu...
CECIL ODONGO: ODM isiingie mkataba kipofu kama wa Nasa
Na CECIL ODONGO BAADA ya kujiondoa katika muungano wa NASA, ODM inafaa kujihadhari na kumakinika kabla ya kuingia mkataba wa kisiasa na...
Msimu wa talaka
Na LEONARD ONYANGO HUKU ikiwa imesalia miezi 12 kabla ya kuandaliwa kwa uchaguzi mkuu wa Agosti 9, 2022, wanasiasa wameanza kujipanga...
Talaka ya NASA yakamilika sasa chama cha ODM kikijiondoa
Na BENSON MATHEKA CHAMA cha ODM kinachoongozwa na aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga, nacho kimeamua kujiondoa katika muungano wa...
Vinara wa NASA wawakanganya wafuasi wao
BENSON MATHEKA Na PIUS MAUNDU LAWAMA ambazo vinara wa muungano wa NASA wanarushiana kuhusu mkataba wa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2017...
Nasa sinaswi tena
Na VALENTINE OBARA KIONGOZI wa Chama cha Amani National Congress (ANC), Bw Musalia Mudavadi, amepuuzilia mbali mpango wa wenzake Raila...
JAMVI: Raila anajitia hatarini kuhepwa ifikapo 2022
Na WANDERI KAMAU KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga, yuko kwenye hatari ya kuachwa mpweke kisiasa ifikapo 2022, kutokana na tofauti ambazo...
JAMVI: Kusambaratika kwa NASA huenda itakuwa nafuu au kitanzi kwa Raila
Na CHARLES WASONGA VITA vya maneno vilivyotokea majuzi kati ya vigogo wa muungano wa upinzani (NASA), Raila Odinga kwa upande mmoja na...
Mudavadi asisitiza NASA iko kwenye chumba mahututi cha kisiasa
Na SAMMY WAWERU NATIONAL Super Alliance (NASA) iko kwenye chumba mahututi cha kisiasa, amesema kiongozi wa ANC, Bw Musalia...
Wito kwa vinara wa NASA waungane upya
Na JUSTUS OCHIENG KUNDI la viongozi katika Muungano wa National Super Alliance (Nasa) wanataka kukomeshwa kwa malumbano miongoni mwa...