Tag: polisi
- by adminleo
- April 17th, 2020
Polisi aliyemuua mwanafunzi azuiliwa
Na Richard Munguti Mahakama Kuu Nairobi Alhamisi iliamuru afisa wa polisi Emmanuel Abunya azuiiliwe hadi Aprili 23 2020 atakaposhtakiwa...
- by adminleo
- April 8th, 2020
KAFYU: Polisi na majambazi sasa wazidisha uhalifu
Na WAANDISHI WETU VISA vya ukiukaji wa amri ya kutotoka nje usiku na uhalifu vimeendelea kushuhudiwa maeneo tofauti nchini huku maafisa...
- by adminleo
- April 3rd, 2020
Walioiba bunduki wabambwa
Na CHARLES WASONGA MAAFISA wa upelelezi wa jinai wamemkamata mwanamume mmoja anayeshukiwa kuwa miongoni mwa majambazi waliovamia kituo...
- by adminleo
- March 31st, 2020
KAFYU: Polisi na majambazi sasa wahangaisha Wakenya
Na WAANDISHI WETU VISA vya uhalifu vimeendelea kutekelezwa na polis pamoja na magenge hatari wakati wa kafyu inayotekelezwa na serikali...
- by adminleo
- March 22nd, 2020
CORONA: Polisi watimua waumini wakaidi makanisani
Na WAANDISHI WETU POLISI mjini Mombasa Jumapili walilazimika kutimua waumini waliokaidi ushauri wa Serikali Kuu na kuendelea na ibada...
- by adminleo
- March 5th, 2020
Seneti yaambiwa raia 210 waliuawa na polisi
Na CHARLES WASONGA JUMLA ya raia 210 wameuawa na polisi kinyume cha sheria katika kipindi cha miezi 15 iliyopita, hii ni kwa mujibu wa...
- by adminleo
- February 20th, 2020
Agizo mabasi yanayohudumu Kaskazini Mashariki yasindikizwe na polisi
JACOB WALTER na MERCY MWENDE SERIKALI imetoa agizo kwamba mabasi ya uchukuzi wa umma yanayohudumu maeneo ya Kaskazini Mashariki mwa nchi...
- by adminleo
- January 23rd, 2020
Kesi za waliouawa na polisi bado zinajikokota -IPOA
Na PETER MBURU ZAIDI ya mwaka mmoja tangu mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Leeds, Carilton Maina alipouawa na polisi, kesi...
- by adminleo
- January 16th, 2020
Mauti na vilio wakazi wakidai haki yao Kasarani
PETER MBURU na MARY WAMBUI POLISI Alhamisi waliendelea kulaumiwa kwa kutumia nguvu kupita kiasi kukabiliana na waandamanaji waliokuwa...
- by adminleo
- January 13th, 2020
Wanachuo wakabiliana na polisi wakipinga faini
STELLA CHERONO na MERCY KOSKEI BEWA Kuu la Chuo Kikuu cha Egerton, Jumatatu liligeuka uwanja wa vita, wanafunzi wakikabiliana na polisi...
- by adminleo
- January 13th, 2020
Polisi warudisha Kenya enzi za giza
Na MISHI GONGO CHAMA cha Wanahabari (KUJ) kinataka hatua zichukuliwe dhidi ya maafisa wa polisi waliomshambulia mpiga picha wa gazeti la...
- by adminleo
- December 27th, 2019
Polisi vidosho sasa marufuku kuvaa wigi
Na NICHOLSA KOMU MAAFISA wa kike wa polisi watalazimika kuenda saluni ili kuondoa wigi zao za kuvutia punde sherehe za Krismasi na Mwaka...