Tag: pombe
Wazazi wanadhuru watoto kwa kunywa pombe nyumbani
Na LEONARD ONYANGO [email protected] KUFUNGWA kwa baa na maeneo ya burudani kumewaweka wazazi wanaopenda kubugia mvinyo kwenye...
- by adminleo
- July 21st, 2020
Pigo kwa walevi sheria mpya ikipitishwa
Na VALENTINE OBARA WALEVI na wafanyabiashara za vileo watapata pigo iwapo serikali itatekeleza pendekezo la kupiga marufuku unywaji wa...
- by adminleo
- July 20th, 2020
Mikahawa sasa inauza pombe – Serikali
Na SAMMY WAWERU Serikali Jumatatu imefichua kuwa wamiliki wa mikahawa sasa wamebadilisha biashara na kuanza kuuza mvinyo bila...
- by adminleo
- April 26th, 2020
Matatizo ya akili yazidi kutokana na sheria kali za coronavirus
Na WAANDISHI WETU WATAALAMU wa afya ya akili wameitaka serikali kuweka mipango ya kupunguzia Wakenya msongo wa mawazo, inapopambana na...
- by adminleo
- March 10th, 2020
Watu 20 wafariki kwa kunywa pombe kuzuia kuambukizwa corona
Na MASHIRIKA WATU 20 wamefariki nchini Iran baada ya kunywa pombe yenye sumu kwa imani kuwa inaweza kuzuia kuambukizwa virusi vya...
- by adminleo
- February 26th, 2020
Tunahangaishwa kwa kupiga vita pombe haramu – Nyumba Kumi
Na Phyllis Musasia VIONGOZI wa Nyumba Kumi eneo la Kuresoi Kusini, wametishia kususia majukumu yao kwa madai ya kunyanyaswa na...
- by adminleo
- February 6th, 2020
Moi alichukia ulevi, asema mjukuu wake
Na FRANCIS MUREITHI MJUKUU wa Rais mstaafu Daniel arap Moi, amefichua kuwa babu yake alichukia pombe na hakutaka walevi wajumuike naye...
- by adminleo
- February 3rd, 2020
Polisi washirikianao na wauzaji pombe motoni
JUSTUS OCHIENG na VITALIS KIMUTAI SERIKALI imelazimika kuchukua hatua ili kukomesha utengenezaji na uuzaji wa pombe haramu na dawa...
- by adminleo
- January 27th, 2020
AFYA: Yafahamu madhara ya unywaji pombe kupita kiasi
Na MARGARET MAINA [email protected] WATU wengi wanapopumzika nyumbani au vilabuni, utawapata wakinywa pombe...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Pombe, mitambo ya kamari na bangi yateketezwa Thika
Na LAWRENCE ONGARO WALANGUZI wa dawa za kulevya, watengenezaji pombe haramu na wachezaji kamari wamepewa ilani wajiondoe kwa biashara...
- by adminleo
- January 7th, 2020
Afisa wa polisi na mwanafunzi washtakiwa kwa wizi wa pombe
Na LAWRENCE ONGARO AFISA mmoja wa polisi na mwanafunzi wa chuo kikuu wamefikishwa mahakamani kwa wizi wa pombe kutoka katika kiwanda cha...
- by adminleo
- October 15th, 2019
Korti yamzuia DCI kufunga akaunti za kampuni ya pombe na mvinyo
Na RICHARD MUNGUTI BIASHARA katika kiwanda cha kutengeneza pombe na mvinyo cha Africa Spirits na kampuni zingine nane zitaanza...