Tag: saratani
TANZIA: Mbunge wa Juja afariki
SIMON CIURI na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Juja Francis Munyua Waititu amefariki baada ya kuugua kansa ya ubongo kwa kipindi...
Kansa ya lango la uzazi bado changamoto mashambani
NA PAULINE ONGAJI Alipogunduliwa kuwa anaugua kansa ya lango la uzazi, mwanzoni Milka Kavere, 61, mkazi wa kijiji cha Muhudu, Kaunti ya...
Wagonjwa wa kansa wageukia mitishamba
Na BARNABAS BII WAGONJWA wa kansa ambao hawamudu gharama ya matibabu katika hospitali za kibinafsi sasa wanatumia dawa za kienyeji...
SARATANI YA MATITI: ‘Nilidhani ni ugonjwa wa wanawake pekee…’
NA PAULINE ONGAJI Alipogundua kwamba alikuwa anaugua kansa ya matiti mwaka jana, alishtuka sana kwani hakujua kwamba maradhi haya pia...
Jinsi ya kuzuia saratani ya matiti
NA WANGU KANURI Mwezi wa Oktoba katika kalenda ni mwezi ambao huangazia kwa kina saratani ya matiti. Hospitali nyingi huwarai watu...
- by adminleo
- November 19th, 2019
SHINA LA UHAI: Wanaume mashujaa dhidi ya saratani wanaohimili familia zao
Na PAULINE ONGAJI HUKU ulimwengu ukiadhimisha siku ya kimataifa ya kuwatambua wanaume, takwimu zinaonyesha kwamba licha ya kuchangia...
- by adminleo
- August 24th, 2019
DAU LA MAISHA: Nesi wa kwanza nchini kushughulikia saratani
Na PAULINE ONGAJI ALIKUWA muuguzi wa kwanza wa nchini kuweka zingatio katika uuguzi wa maradhi ya kansa. Ana uzoefu wa zaidi ya...
- by adminleo
- August 6th, 2019
SHINA LA UHAI: Ijue saratani ya damu na inavyosambaa
Na BENSON MATHEKA HUKU idadi ya watu wanaougua saratani ikiendelea kuongezeka, imebainika kuwa inachukua madaktari muda kuitambua na...
- by adminleo
- August 1st, 2019
Wataalamu wapuuza dai la ‘mursik’ kusababisha saratani
Na EDITH CHEPNGENO WATAALAM kuhusu ugonjwa wa saratani wamepuuzilia mbali hofu inayohusisha mursik ambayo ni maziwa yaliyogandishwa, na...
- by adminleo
- July 31st, 2019
Serikali yaomba mchango kujenga kituo cha saratani
Na VALENTINE OBARA WANANCHI wameghadhabishwa na hatua ya serikali kuwaomba wachange fedha za ujenzi wa kituo cha matibabu ya kansa...
- by adminleo
- July 30th, 2019
DCI alaumu ufisadi kwa ongezeko la kansa nchini
Na VALENTINE OBARA WAFANYABIASHARA matapeli wanaouza bidhaa ghushi, hasa vyakula, wamelaumiwa kwa ongezeko la maradhi ya kansa...
- by adminleo
- July 30th, 2019
BURIANI LABOSO: Saratani sasa janga la kitaifa
VALENTINE OBARA na GEORGE MUNENE WAKENYA elfu 33 wanafariki kila mwaka kutokana na kansa, ugonjwa ambao Jumatatu ulimuua Gavana Joyce...