Tag: sgr
- by adminleo
- February 26th, 2020
China ilivyomfunga Uhuru mdomo
PAUL WAFULA Na VINCENT ACHUKA CHINA ilizuia Rais Uhuru Kenyatta kutangazia Wakenya yaliyomo kwenye kandarasi ya ujenzi wa reli ya SGR...
- by adminleo
- February 19th, 2020
Wataka waziri aagizwe kutoa mkataba wa SGR
Na PHILIP MUYANGA WACHUKUZI wanataka waziri wa Uchukuzi James Macharia aagizwe kuweka kortini mkataba wa makubaliano baina ya serikali...
- by adminleo
- November 21st, 2019
Macharia aamriwa kufika mbele ya maseneta
Na CHARLES WASONGA MASENETA wamemtaka Waziri wa Uchukuzi James Macharia kufika mbele yao ndani ya wiki mbili kujibu maswali kuhusu...
- by adminleo
- November 2nd, 2019
Wanaharakati wazimwa kufanya kikao kuhusu SGR
Na ANTHONY KITIMO MKUTANO uliotarajiwa kuhutubiwa na wanaharakati Yash Pal Ghai, David Ndii na Maina Kiai mjini Mombasa ulitibuka...
- by adminleo
- October 16th, 2019
Rais Kenyatta anazindua awamu ya 2A ya SGR kutoka Nairobi hadi Naivasha
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta leo Jumatano anazindua rasmi awamu ya 2A ya Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Nairobi hadi Naivasha...
- by adminleo
- October 16th, 2019
Wapwani walalama kuchezewa na serikali
Na MOHAMED AHMED SERIKALI inaonekana kucheza mchezo wa paka na panya na washikadau wa shughuli za Bandari ya Mombasa kuhusiana na suala...
- by adminleo
- October 10th, 2019
Hatimaye Joho aingilia mzozo wa kusafirisha mizigo SGR
Na WINNIE ATIENO GAVANA wa Mombasa, Hassan Joho sasa amejitokeza kutetea wenye biashara wanaotegemea usafirisha mizigo kwa malori kutoka...
- by adminleo
- October 3rd, 2019
Joho sasa akutana na Matiang’i kuzima hasira kuhusu SGR
Na CECIL ODONGO SERIKALI jana iliwahakikishia wakazi wa Pwani kwamba agizo la usafirishaji wa mizigo kupitia reli ya kisasa ya SGR kwa...
- by adminleo
- August 6th, 2019
Ghadhabu Pwani agizo la SGR likianza
Na MOHAMED AHMED AGIZO la Serikali kuwa kuanzia Jumatano mizigo yote kutoka Bandari ya Mombasa iwe ikisafirishwa kwa reli ya SGR hadi...
- by adminleo
- August 4th, 2019
SGR: Amri ya serikali kuathiri uchumi wa Mombasa
Na ANTHONY KITIMO BIASHARA nyingi katika eneo la Pwani zitaathirika kufuatia amri ya serikali kwamba mizigo yote kutoka Mombasa hadi...
- by adminleo
- July 16th, 2019
NLC na KR lawamani kukosa kufidia wakazi Sh5.8b
Na CHARLES WASONGA WAKUU wa Tume ya Kitaifa ya Ardhi (NLC) na Shirika la Reli Nchini (KR) Jumanne walielekezewa lawama na wabunge...
- by adminleo
- June 28th, 2019
Mzaha wa kupeleka mizigo Nairobi na kuirejesha Mombasa
Na ANTHONY KITIMO WAFANYABIASHARA jijini Mombasa wanaoagiza bidhaa kutoka ng’ambo, wamelalamikia hatua ya serikali kuwaagiza...