Tag: simbas
- by T L
- November 26th, 2021
Simbas yakamilisha ziara ya Afrika Kusini kwa kishindo ikitupia jicho Uganda
Na GEOFFREY ANENE KENYA Simbas inaelekeza macho yake kwa Kombe la Afrika 2022 baada ya kukamilisha ziara yake ya Afrika Kusini kwa...
- by T L
- November 25th, 2021
Simbas wahitimisha ziara na Wahispania
Na GEOFFREY ANENE KENYA Simbas itakamilisha ziara ya majuma matatu nchini Afrika Kusini dhidi ya Diables Barcelona kutoka Uhispania hii...
- by T L
- November 13th, 2021
Simbas mawindoni kulipiza kisasi dhidi ya Namibia raga ya Stellenbosch Challenge
Na GEOFFREY ANENE Kenya Simbas inatarajiwa kuwa na kibarua kigumu itakapofufua uadui dhidi ya mabingwa wa Afrika Namibia kwenye...
Wanaraga wa Kenya Simbas wapata mwaliko wa kucheza dhidi ya wasomi wa Chuo Kikuu cha Stellenbosch nchini Afrika Kusini
Na CHRIS ADUNGO TIMU ya taifa ya wanaraga 15 kila upande, Kenya Simbas, imepangiwa kushiriki mechi mbili dhidi ya kikosi mseto cha Chuo...
- by adminleo
- June 25th, 2020
Odera akanusha anataka kutoroka Simbas kujiunga na Shujaa
Na GEOFFREY ANENE KOCHA wa timu ya Kenya ya raga ya wachezaji 15 kila upande Paul Odera amepuuzilia mbali madai kuwa anamezea mate...
- by adminleo
- June 9th, 2020
Simbas kutumia kipute cha raga ya Afrika kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia
Na CHRIS ADUNGO KIPUTE cha kuwania Raga ya Kombe la Afrika mnamo 2022 sasa kitatumiwa na Kenya Simbas kufuzu kwa fainali za Kombe la...
- by adminleo
- May 5th, 2020
Simbas watoa mwongozo mpya wa kuboresha raga nchini Kenya
Na CHRIS ADUNGO BENCHI ya kiufundi ya kikosi cha raga ya wachezaji 15 kila upande, Simbas, imebuni mwongozo mpya wa ukufunzi na...
- by adminleo
- September 19th, 2019
Odera ataja kikosi cha Simbas kukabiliana na Zimbabwe raga ya Victoria Cup
Na GEOFFREY ANENE KENYA imetangaza kikosi chake cha Simbas kitakacholimana na Zimbabwe katika mechi ya mwisho ya raga ya wachezaji 15...
- by adminleo
- August 6th, 2019
Lazima tujipange kabla ya mechi za marudiano – Odera
Na GEOFFREY ANENE KOCHA Paul Odera amekiri kuna kazi kubwa ya kufanywa kabla ya Simbas kualika Zambia (Agosti 24) na mabingwa watetezi...
- by adminleo
- December 31st, 2018
Simbas walia kukosa mshahara wa Novemba
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya raga ya wachezaji 15 kila upande almaarufu Kenya Simbas inadai Shirikisho la Raga la Kenya (KRU)...
- by adminleo
- November 16th, 2018
Nahodha wa Simbas kukosa mechi kali dhidi ya Hong Kong
Na GEOFFREY ANENE NAHODHA Davis Chenge atakosa mechi ya Kenya Simbas ya kufa kupona dhidi ya Hong Kong ya kufuzu kushiriki Kombe la Dunia...
- by adminleo
- November 2nd, 2018
Romania yataja kikosi kitakachovaana na Simbas Bucharest
Na GEOFFREY ANENE NCHI ya Romania imetaja kikosi chake kitakachopimana nguvu na Kenya Simbas katika mechi ya raga ya wachezaji 15 kila...