Tag: solai
- by adminleo
- May 14th, 2019
MKASA WA SOLAI: Siasa zachelewesha fidia kwa waathiriwa
NA RICHARD MAOSI WAKAZI wa Solai katika Kaunti ya Nakuru wameadhimisha mwaka mmoja tangu mkasa wa mafuriko uwapate ambapo watu 48...
- by adminleo
- January 31st, 2019
SOLAI: Makabiliano ya polisi na wakazi wanaotaka fidia baada ya mkasa
NA RICHARD MAOSI WAKAZI wa eneo la Solai, Kaunti ya Nakuru Jumatano walikabiliana na polisi walipozuiliwa kuhudhuria mkutano wa amani...
- by adminleo
- December 24th, 2018
SOLAI: Aibu kwa maafisa wa serikali kujinufaisha na misaada ya waathiriwa
Na MAGDALENE WANJA Miezi minane baada ya mkasa wa bwawa la Solai kutokea, maswali yanaendelea kuibuka mwaka ukiisha kuhusu kama ilikuwa...
- by adminleo
- August 20th, 2018
Mmiliki wa bwawa la Solai azuiliwa kusafiri ng’ambo
Na RICHARD MUNGUTI MMILIKI wa kampuni za Solai zilizojenga bwawa la Solai ambalo lilipasuka na kusababisha vifo vya watu 47 amezuiliwa na...
- by adminleo
- July 18th, 2018
Mahakama kuamua iwapo itazuru bwawa la Patel
NA PETER MBURU Mahakama ya kutatua mizozo ya mashamba na mazingira Nakuru imesema kuwa itaamua ikiwa itazuru eneo la mkasa wa bwawa la...
- by adminleo
- July 11th, 2018
Ni lawama tu kwenye ripoti ya uchunguzi wa mkasa wa Solai
NA PETER MBURU Ripoti ya uchunguzi kuhusu mkasa wa bwawa la Patel, Solai kutoka kwa mashirika ya kutetea haki za binadamu imelaumu idara...
- by adminleo
- May 29th, 2018
Mkasa wa Solai: KHRC yalaumu taasisi za serikali
Na FRANCIS MUREITHI TUME ya kutetea haki za kibinadamu (KHRC) imelaumu taasisi za serikali kwa kupuuza dalili za mapema kabla ya kutokea...
- by adminleo
- May 22nd, 2018
Malaika aliyeponea kifo Solai ampa mamaye tabasamu
[caption id="attachment_6173" align="aligncenter" width="800"] Mama Jane Akur (kushoto) na mwanawe Patrick Wekesa wakiwa katika hospitali...
- by adminleo
- May 16th, 2018
Rais awavulia kofia wenyeji eneo la Solai
Na VALENTINE OBARA WAKAZI wa Solai, Kaunti ya Nakuru wamesifiwa kuwa mashujaa kwa ujasiri walioonyesha walipookoa wenzao wakati bwawa...
- by adminleo
- May 13th, 2018
Baada ya mkasa wa Solai, maelfu sasa wanaishi kwa hofu
NA PETER MBURU Mkasa wa bwawa la Solai ambao uliwaua zaidi ya watu 40 sasa umeamsha hofu ya miaka mingi baina ya maelfu ya wakazi wa...
- by adminleo
- May 11th, 2018
SOLAI: Serikali yaondoa maji katika mabwawa mengine mawili
Na ERIC MATARA WAHANDISI wa serikali Ijumaa waliondoa maji yaliyokuwa katika mabwawa mengine mawili yaliyo karibu na bwawa la Patel,...
- by adminleo
- May 11th, 2018
DPP amtaka Boinnet ampe ripoti ya uchunguzi wa mkasa wa Solai kwa siku 14
Na ERIC MATARA Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Ijumaa alitaka uchunguzi ufanywe kubaini kiini cha mkasa wa bwawa la Patel eneo la...