Tag: sungura
- by T L
- December 8th, 2021
Fahamu mengi kuhusu nyama ya sungura
Na MARGARET MAINA [email protected] SUNGURA ni mnyama ambaye faida ziambatanazo na ufugaji wake ni nyingi. Nyama ya...
- by T L
- December 1st, 2021
Ukikutana na hizi ‘kanda mbili’ utajua ni za sungura?
Na SAMMY WAWERU IKIWA imeorodheshwa kati ya nyama nyeupe, ambayo ni mwororo na yenye ladha tamu, ni nadra kuipata kwenye hoteli au...
AKILIMALI: Avuna hela kutokana na ufugaji sungura na njiwa jijini Nairobi
Na WINNIE ONYANDO SUNGURA kando na kutumika kama chakula miongoni mwa baadhi ya watu, mnyama huyo huwa kivutio hasa miongoni mwa...
AKILIMALI: Sungura ‘mjanja’ ila thamani yake kubwa ukizamia ufugaji wake
Na PETER CHANGTOEK HUKU akivalia bwelasuti yenye rangi ya kijani, Emanuel Adundo, awakagua sungura wake waliomo ndani ya vibanda...
BIASHARA MASHINANI: Lishe mbovu nusura ifagie sungura wake; akaokoa hali
Na PETER CHANGTOEK MAUREEN Wanyaga, 29, aliwapoteza wazazi wake mnamo 2005 kwa ajali ya barabarani, walipokuwa wakienda kumtafutia shule...
- by adminleo
- December 24th, 2019
AKILIMALI: Binti mfugaji hodari wa sungura
NA PETER CHANGTOEK UFUGAJI wa sungura ni shughuli ambayo imekuwa ikiendeshwa aghalabu na vijana wa kiume. Lakini sasa kina dada...
- by adminleo
- October 3rd, 2019
RIZIKI NA MAARIFA: Amekuwa na wengi mifugo, lakini aungama sungura ndio ‘kitu’ bora kwake
Na CHARLES WASONGA na CORNELIUS MUTISYA SAFARI yetu ya kikazi ilianza saa mbili asubuhi. Tuliabiri bodaboda kutoka mjini Machakos na...
- by adminleo
- September 15th, 2019
Matumizi ya mkojo wa sungura katika ukuzaji mboga
NA RICHARD MAOSI Takriban kilomita mbili kutoka mjini Naivasha tunakumbana na wanafunzi wa shule ya wasichana ya St Claire of Assisi,...
- by adminleo
- August 15th, 2019
AKILIMALI: Mkojo wa sungura ni muhimu katika uboreshaji udongo wa kilimo
Na SAMMY WAWERU SUALA la udongo wenye asidi kupita kiasi ni kizingiti kikuu kwa wakulima wengi nchini Kenya. Waliozingirwa na...
- by adminleo
- April 18th, 2019
AKILIMALI: Aina ya sungura bora na walio rahisi zaidi kufuga nchini
Na CHRIS ADUNGO AKILIMALI ilipozuru Shule ya Upili ya Mercy Njeri katika mtaa wa Kiamunyi viungani mwa mji wa Nakuru, tulipata mengi ya...
- by adminleo
- January 17th, 2019
AKILIJIBU: Naomba kujua manufaa ya mkojo wa sungura
SWALI: Ninaitwa GODWIN BARAKA kutoka Cheptiret, Eldoret. Mimi ni mkulima mdogo na ninahitaji kujifunza kutoka kwenu. Ninafuga sungura na...
- by adminleo
- May 31st, 2018
Sungura 27 wahangaisha maafisa katika kituo cha treni
MASHIRIKA na VALENTINE OBARA NEW YORK, AMERIKA MAAFISA wa kutunza wanyama walikabiliwa na wakati mgumu kukamata sungura 27 waliotupwa...