Tag: TIMUA
Shaffie Weru sasa afukuza Sh21 milioni akidai alipigwa kalamu kupitia WhatsApp
NA MWANGI MUIRURI Aliyekuwa Mtangazaji wa kituo vcha Radio cha Homeboyz Shaffie Weru, amezindua harakati za kuvuna Sh21 Milioni kutoka...
- by adminleo
- March 5th, 2020
Kiwanda chatimua watu 280
Na STEVE NJUGUNA USIMAMIZI wa kiwanda cha maziwa cha Nyahururu, Alhamisi uliwafuta wafanyakazi 280. Hatua hiyo kulingana na...
- by adminleo
- March 26th, 2019
Hoja ya kumtimua Ruto ni njama ya Raila kuwa Naibu Rais – Jubilee
Na CHARLES WASONGA WABUNGE 15 wa Jubilee wameshutumu kiongozi wa ODM Raila Odinga wakidai ndiye anamchochea Seneta wa Siaya James Orengo...
- by adminleo
- February 27th, 2019
WASONGA: Uhuru anasubiri nini kutimua wafisadi serikalini?
Na CHARLES WASONGA SERIKALI ya Jubilee imekuwa ikijidai kuwa inaongozwa na kauli mbiu ya "Kusema na Kutenda" katika utendakazi wake...
- by adminleo
- August 7th, 2018
Wabunge walalamikia kuachwa kwa mabwanyenye ndani ya Mau walalahoi wakifurushwa
Na Anita Chepkoech WABUNGE wawili wa Jubilee wamelaumu serikali kwa kufurusha maskini kutoka Msitu wa Mau na kuwaacha...
- by adminleo
- June 12th, 2018
Minnaert afurushwa Rwanda kwa matokeo ya aibu
Na CECIL ODONGO ALIYEKUWA kocha AFC leopards Ivan Minnaert ametimuliwa na waajiri wake Klabu ya Rayon Sports ya Rwanda kufuatia misururu...
- by adminleo
- June 7th, 2018
SAKATA YA NYS: Wabunge wa Jubilee na Nasa wataka Waziri Kariuki ang’atuliwe
Na CHARLES WASONGA WABUNGE watano Alhamisi walimtaka Waziri wa Afya Bi Sicily Kariuki ajiuzulu la sivyo watamtimua afisini kuhusiana na...
- by adminleo
- June 7th, 2018
Sonko amtimua waziri kwa kusafiri bila ruhusa yake
Na COLLINS OMULO GAVANA wa Nairobi Mike Sonko amemtimua Waziri wa Ugatuzi wa kaunti, Bi Vesca Kangogo (pichani kushoto) kwa kusafiri...
- by adminleo
- April 19th, 2018
Gavana Njuki ashtakiwa kwa kutimua wafanyakazi
[caption id="attachment_4818" align="aligncenter" width="800"] Wakili Davidson Warutere (kati) na wafanyakazi waliofutwa katika kaunti ya...
- by adminleo
- April 9th, 2018
Pasta ashangaza kuomba waumini idhini afurushe mkewe
Na TOBBIE WEKESA KABATI, MURANG'A PASTA wa kanisa moja la hapa aliwaacha wengi vinywa wazi alipowaomba ruhusa waumini ili amtimue mke...
- by adminleo
- April 1st, 2018
Wakenya wengine 20 watimuliwa Amerika
Na MWANDISHI WETU WAKENYA 20 ni miongoni mwa watu 100 waliofurushwa Marekani kutokana na swala tata la wahamiaji haramu huku wengine...
- by adminleo
- March 28th, 2018
Buda afurusha bintiye kwa kuvaa suruali ya kubana
Na TOBBIE WEKESA KIZAAZAA kilizuka katika boma moja la hapa baada ya mzee kumtimua binti yake alipofika nyumbani kutoka chuoni akivalia...