• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 4:36 PM

Kesi za ufisadi za Sh224 bilioni zimekwama kortini – Haji

Na BENSON MATHEKA Kesi 135 za ufisadi zinazohusu uporaji wa Sh224 bilioni pesa za umma, zinaendelea katika mahakama tofauti nchini,...

Korane gavana wa sita kusimamishwa na korti kwenda ofisini

Na RICHARD MUNGUTO GAVANA Ali Korane ndiye kinara wa sita wa serikali za kaunti kupigwa marufuku kurudi afisini baada ya kushtakiwa kwa...

Mbunge wa Lari na maafisa wa CDF wakamatwa

Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Lari Jonah Mburu Mwangi amekamatwa Ijumaa pamoja na maafisa wanne wa Hazina ya Ustawi wa Eneo Bunge hili...

Msaada wa corona haukuibwa, Kagwe sasa asema

Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Afya Mutahi Kagwe sasa amebadilisha msimamo na kukana madai kwamba sehemu ya shehena ya msaada wa vifaa vya...

Kesi zaumiza raia

NA WAANDISHI WETU IDADI ya viongozi wanaoandamwa kwa madai ya ufisadi inazidi kuongezeka na kuwaacha wananchi bila uongozi mwafaka,...

Kingi aahidi kuadhibu waliomumunya mamilioni ya corona

Na ALEX AMANI GAVANA wa Kaunti ya Kilifi, Bw Amason Kingi, amesema serikali yake itashirikiana kikamilifu na asasi za kuchunguza ufisadi...

MUTUA: Uozo wa ajabu kugeuza corona kitega uchumi

Na DOUGLAS MUTUA Lisemwalo lipo na ikiwa halipo limo njiani. Nimeandika hapa mara kadhaa kwamba, japo sikubaliani na watu wanaotilia...

Waabudu hela waeneza vifo nchini

Na BENSON MATHEKA WAKENYA wanapozama katika umaskini na kufa kwa maradhi na njaa, watu wenye ushawishi serikalini na wafanyabiashara...

Juhudi za kuzima ufisadi zachacha mali ikitwaliwa

JOSEPH WANGUI Na CHARLES WASONGA VITA dhidi ya ufisadi vinaonekana kuzaa matunda nchini baada ya Mahakama kukubaliana na Tume ya Maadili...

Joho awindwa na EACC

MOHAMED AHMED na FARHIYA HUSSEIN TUME ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) inachunguza madai ya ufujaji wa pesa katika Serikali ya...

Serikali yahimizwa kutolegeza kamba vita dhidi ya ufisadi

Na LAWRENCE ONGARO SERIKALI imeanza kuonyesha juhudi za kupambana na ufisadi, lakini wafanyabiashara na viongozi wa Thika wanaitaka...

ODM yakana madai Raila anatakasa mafisadi

Na ONYANGO K'ONYANGO CHAMA cha ODM kimekanusha madai kuwa kinashirikiana na watu ambao wameshtakiwa kwa ufisadi hivyo kuhujumu juhudi za...