Tag: ufisadi
Kesi za ufisadi za Sh224 bilioni zimekwama kortini – Haji
Na BENSON MATHEKA Kesi 135 za ufisadi zinazohusu uporaji wa Sh224 bilioni pesa za umma, zinaendelea katika mahakama tofauti nchini,...
Korane gavana wa sita kusimamishwa na korti kwenda ofisini
Na RICHARD MUNGUTO GAVANA Ali Korane ndiye kinara wa sita wa serikali za kaunti kupigwa marufuku kurudi afisini baada ya kushtakiwa kwa...
Mbunge wa Lari na maafisa wa CDF wakamatwa
Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Lari Jonah Mburu Mwangi amekamatwa Ijumaa pamoja na maafisa wanne wa Hazina ya Ustawi wa Eneo Bunge hili...
Msaada wa corona haukuibwa, Kagwe sasa asema
Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Afya Mutahi Kagwe sasa amebadilisha msimamo na kukana madai kwamba sehemu ya shehena ya msaada wa vifaa vya...
Kesi zaumiza raia
NA WAANDISHI WETU IDADI ya viongozi wanaoandamwa kwa madai ya ufisadi inazidi kuongezeka na kuwaacha wananchi bila uongozi mwafaka,...
Kingi aahidi kuadhibu waliomumunya mamilioni ya corona
Na ALEX AMANI GAVANA wa Kaunti ya Kilifi, Bw Amason Kingi, amesema serikali yake itashirikiana kikamilifu na asasi za kuchunguza ufisadi...
- by adminleo
- August 8th, 2020
MUTUA: Uozo wa ajabu kugeuza corona kitega uchumi
Na DOUGLAS MUTUA Lisemwalo lipo na ikiwa halipo limo njiani. Nimeandika hapa mara kadhaa kwamba, japo sikubaliani na watu wanaotilia...
- by adminleo
- August 5th, 2020
Waabudu hela waeneza vifo nchini
Na BENSON MATHEKA WAKENYA wanapozama katika umaskini na kufa kwa maradhi na njaa, watu wenye ushawishi serikalini na wafanyabiashara...
- by adminleo
- July 25th, 2020
Juhudi za kuzima ufisadi zachacha mali ikitwaliwa
JOSEPH WANGUI Na CHARLES WASONGA VITA dhidi ya ufisadi vinaonekana kuzaa matunda nchini baada ya Mahakama kukubaliana na Tume ya Maadili...
- by adminleo
- July 22nd, 2020
Joho awindwa na EACC
MOHAMED AHMED na FARHIYA HUSSEIN TUME ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) inachunguza madai ya ufujaji wa pesa katika Serikali ya...
- by adminleo
- July 4th, 2020
Serikali yahimizwa kutolegeza kamba vita dhidi ya ufisadi
Na LAWRENCE ONGARO SERIKALI imeanza kuonyesha juhudi za kupambana na ufisadi, lakini wafanyabiashara na viongozi wa Thika wanaitaka...
- by adminleo
- June 23rd, 2020
ODM yakana madai Raila anatakasa mafisadi
Na ONYANGO K'ONYANGO CHAMA cha ODM kimekanusha madai kuwa kinashirikiana na watu ambao wameshtakiwa kwa ufisadi hivyo kuhujumu juhudi za...