• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Genge laibuka upya nakujeruhi watu 7 mtaani

Na WACHIRA MWANGI WATU zaidi ya saba walijeruhiwa baada ya genge la wahalifu wenye visu na panga kushambulia wakazi mtaani Bashir,...

Jambazi sugu Maragua aponea kuuawa na polisi baada ya kufumaniwa akilisha makurutu kiapo

NA MWANGI MUIRURI Kinara wa genge la uvamizi wa mauaji katika Kaunti ya Murang'a ameponyoka mauti baada ya kuponea chupuchupu alipokoswa...

Hofu magenge hatari ya vijana kufufuka eneo la Kisauni, Mombasa

Na MOHAMED AHMED MAGENGE ya kutisha ya vijana wadogo wanaotumia visu kuhangaisha wakazi yamerejea mjini Mombasa. Magenge hayo ya...

Afueni kwa wakazi mradi wa barabara kupunguza ujambazi

NA KALUME KAZUNGU MRADI wa ujenzi wa barabara ya kilomita 15 unaoendelezwa kwenye mji wa Mokowe, Kaunti ya Lamu umesaidia pakubwa...