Tag: wetang’ula
- by T L
- December 12th, 2021
JAMVI: Waasi kuhama Ford-K ni dafrau kwa Wetangula
Na CHARLES WASONGA MZOZO ndani ya chama cha Ford Kenya utafikia kilele Jumanne pale mrengo unaoongozwa na mbunge wa Kanduyi Wafula...
Wetang’ula apinga mkutano wa Ford Kenya ulioitishwa na Eseli
Na Cecil Odongo MZOZO wa uongozi ndani ya Chama cha Ford-Kenya unaendelea kutokota baada ya mrengo unaoongozwa na Seneta wa Bungoma...
- by adminleo
- June 22nd, 2020
Mudavadi na Weta wapigania ubabe Magharibi
BENSON AMADALA na DERICK LUVEGA MIPANGO ya kiongozi wa ANC Musalia Mudavadi na mwenzake wa Ford Kenya Moses Wetang’ula kukabili...
- by adminleo
- June 20th, 2020
Mkutano wa Weta watibuliwa kwa vitoa machozi
BENSON AMADALA Na DERICK LUVEGA POLISI Jumamosi walizima mkutano uliopangwa na kiongozi wa Ford Kenya Moses Wetang'ula nyumbani kwa...
- by adminleo
- June 17th, 2020
Weta kuadhibu waliobadilisha uongozi chamani
BENSON MATHEKA na RICHARD MUNGUTI CHAMA cha Ford Kenya kimebuni kamati itakayoamua hatua kitakachochukulia maafisa waliojaribu kufanya...
- by adminleo
- June 5th, 2020
Weta atishia wanaounga mkono kung’olewa kwake
NA SAMWEL OWINO KUNDI la chama cha Ford Kenya linaloongwza na mbunge wa Kandunyi Wagula Wamunyinyi linalaumu seneta wa Bungoma Moses...
- by adminleo
- June 2nd, 2020
Mapinduzi ya siasa ya Mudavadi, Weta yanukia Magharibi
LUCY KILALO na WANDERI KAMAU KIONGOZI wa chama cha ANC Musalia Mudavadi na Seneta wa Bungoma, Moses Wetang’ula sasa wamejitokeza...
- by adminleo
- June 1st, 2020
Wetang’ula alaumu Atwoli kwa masaibu yake
Na IBRAHIM ORUKO SENETA wa Bungoma Moses Wetang’ula, amemlaumu Katibu Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi (COTU) Francis Atwoli...
- by adminleo
- April 18th, 2020
Msipore fedha za corona – Weta
Na DENNIS LUBANGA KIONGOZI wa Chama cha Ford Kenya Moses Wetang'ula, amesema kwamba fedha zilizotengwa kusaidia kupigana na janga la...
- by adminleo
- April 6th, 2020
Weta apinga mpango kununua mahindi nje
Na DENNIS LUBANGA KIONGOZI wa chama cha Ford Kenya Moses Wetang'ula, amekashifu mpango wa serikali wa kununua mahindi kutoka nje ya...
- by adminleo
- March 5th, 2020
Wafisadi wahukumiwe kifo – Wetangula
Na WANDERI KAMAU CHAMA cha Ford-Kenya kinataka watu wanaopatikana kushiriki ufisadi nchini kuhukumiwa kifo na mali yao kutwaliwa na...
- by adminleo
- December 5th, 2019
Wetang’ula alia ODM inavuruga umoja Magharibi
Na SHABAN MAKOKHA KINARA wa Ford Kenya, Moses Wetang’ula amewalaumu wafuasi wa ODM kutoka Magharibi mwa nchi kwa madai ya kutatiza...