• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:50 AM

JAMVI: Waasi kuhama Ford-K ni dafrau kwa Wetangula

Na CHARLES WASONGA MZOZO ndani ya chama cha Ford Kenya utafikia kilele Jumanne pale mrengo unaoongozwa na mbunge wa Kanduyi Wafula...

Wetang’ula apinga mkutano wa Ford Kenya ulioitishwa na Eseli

Na Cecil Odongo MZOZO wa uongozi ndani ya Chama cha Ford-Kenya unaendelea kutokota baada ya mrengo unaoongozwa na Seneta wa Bungoma...

Mudavadi na Weta wapigania ubabe Magharibi

 BENSON AMADALA na DERICK LUVEGA MIPANGO ya kiongozi wa ANC Musalia Mudavadi na mwenzake wa Ford Kenya Moses Wetang’ula kukabili...

Mkutano wa Weta watibuliwa kwa vitoa machozi

BENSON AMADALA Na DERICK LUVEGA POLISI Jumamosi walizima mkutano uliopangwa na kiongozi wa Ford Kenya Moses Wetang'ula nyumbani kwa...

Weta kuadhibu waliobadilisha uongozi chamani

BENSON MATHEKA na RICHARD MUNGUTI CHAMA cha Ford Kenya kimebuni kamati itakayoamua hatua kitakachochukulia maafisa waliojaribu kufanya...

Weta atishia wanaounga mkono kung’olewa kwake

NA SAMWEL OWINO KUNDI la chama cha Ford Kenya linaloongwza na mbunge wa Kandunyi Wagula Wamunyinyi linalaumu seneta wa Bungoma Moses...

Mapinduzi ya siasa ya Mudavadi, Weta yanukia Magharibi

LUCY KILALO na WANDERI KAMAU KIONGOZI wa chama cha ANC Musalia Mudavadi na Seneta wa Bungoma, Moses Wetang’ula sasa wamejitokeza...

Wetang’ula alaumu Atwoli kwa masaibu yake

Na IBRAHIM ORUKO SENETA wa Bungoma Moses Wetang’ula, amemlaumu Katibu Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi (COTU) Francis Atwoli...

Msipore fedha za corona – Weta

Na DENNIS LUBANGA KIONGOZI wa Chama cha Ford Kenya Moses Wetang'ula, amesema kwamba fedha zilizotengwa kusaidia kupigana na janga la...

Weta apinga mpango kununua mahindi nje

Na DENNIS LUBANGA KIONGOZI wa chama cha Ford Kenya Moses Wetang'ula, amekashifu mpango wa serikali wa kununua mahindi kutoka nje ya...

Wafisadi wahukumiwe kifo – Wetangula

Na WANDERI KAMAU CHAMA cha Ford-Kenya kinataka watu wanaopatikana kushiriki ufisadi nchini kuhukumiwa kifo na mali yao kutwaliwa na...

Wetang’ula alia ODM inavuruga umoja Magharibi

Na SHABAN MAKOKHA KINARA wa Ford Kenya, Moses Wetang’ula amewalaumu wafuasi wa ODM kutoka Magharibi mwa nchi kwa madai ya kutatiza...