Tag: gharama
- by adminleo
- June 1st, 2020
Kushuka kwa bei ya mafuta hakujapunguza gharama ya maisha
Na LEONARD ONYANGO KWA kipindi cha miezi miwili sasa, Wakenya wamekuwa wakinunua mafuta kwa bei ya chini kuliko ilivyo kawaida. Kwa...
- by adminleo
- April 8th, 2020
Bei za bidhaa kupanda zaidi licha ya serikali kuahidi afueni
Na PAUL WAFULA SERIKALI imependekeza kuongeza bei ya mkate, maziwa, gesi ya kupikia, dawa, petroli miongoni mwa bidhaa nyingine muhimu...
- by adminleo
- December 24th, 2019
Krismasi ya msoto
Na VALENTINE OBARA CHANGAMOTO tele zilizowakumba Wakenya mwaka huu zimefanya wengi wakose mpango wa kufurahia sherehe za Krismasi...
- by adminleo
- November 24th, 2019
Yafichuka wafanyakazi wa serikali wanafilisisha nchi
Na PAUL WAFULA WATUMISHI wa umma wanaendelea kufyonza nchi kupitia marupurupu wanayodai kila mwezi kwa kazi waliyoajiriwa kutekeleza...
- by adminleo
- November 12th, 2019
Hatari zawakodolea raia macho kutoka pande zote
Na VALENTINE OBARA MBALI na kukabiliwa na hatari ya magonjwa yanayosababishwa na kula vyakula vyenye sumu, Wakenya pia wanakumbwa na...
- by adminleo
- July 1st, 2019
Rais alaumiwa kuyumbisha nchi
Na BERNADINE MUTANU IDADI kubwa ya Wakenya wanamlaumu Rais Uhuru Kenyatta kwa kupeleka nchi mkondo mbaya, utafiti...
- by adminleo
- June 20th, 2019
AJIRA: Mwiba wa kujichoma unavyoitesa serikali
Na LEONARD ONYANGO TANGAZO la Serikali mnamo Jumanne kuwa kuanzia Julai itaajiri wafanyikazi wake kwa kandarasi ili kubana matumizi...
- by adminleo
- May 14th, 2019
MAFUTA: Gharama ya maisha kupanda zaidi
Na BERNARDINE MUTANU WAKENYA wanatarajiwa kukumbana na hali ngumu ya maisha kwa kipindi cha mwezi mmoja ujao, baada ya Tume ya...
- by adminleo
- April 21st, 2019
Wataalamu wataka marekebisho kabla ya 2022
Na RUSHDIE OUDIA WATAALAMU katika fani mbalimbali wametaja ufisadi, gharama ya juu ya kuendesha uchaguzi na usimamizi mbaya kama baadhi...
- by adminleo
- April 14th, 2019
Hali ngumu zaidi baada ya bei ya mafuta kupanda tena
Na VALENTINE OBARA WAKENYA watazidi kukumbwa na hali ngumu ya maisha na hata kulemewa zaidi baada ya bei ya mafuta kuongezeka kwa kiasi...
- by adminleo
- March 25th, 2019
Wakenya hawataki mzigo zaidi – Utafiti
Na PETER MBURU WAKENYA wengi hawataki kuongezewa mzigo wa uongozi kwenye kura ya maamuzi, asilimia kubwa wakipendekeza baadhi ya viti...
- by adminleo
- January 1st, 2019
Wakenya waliteseka 2018, watarajia hali bora 2019
NA LILYS NJERU JAPO mwaka uliopita wa 2018 ulikuwa na changomoto chungu nzima kwa wananchi, Wakenya wengi mwaka huu wa 2019 wameomba...