• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 6:55 PM

Afueni kwa wamiliki wa baa na hoteli

Na WANGU KANURI WAZIRI wa Afya Mutahi Kagwe ametangaza kuwa baa na hoteli zitafungwa kuanzia saa tano usiku. Bw Kagwe alitoa tangazo...

Hoteli iliyovamiwa na magaidi yauzwa

Na BRIAN OCHARO MMILIKI wa Hoteli ya Paradise Beach ambayo ilishambuliwa kwa bomu na magaidi wanaohusishwa na Al Qaeda mwaka wa 2002,...

Java yawaomba wafanyakazi wajiuzulu kwa hiari

NA WANGU KANURI Mkahawa wa Java wenye afisi zake kuu jijini Nairobi umewapa wafanyikazi wake notisi ya kujiuzulu  kwa hiari kabla ya...

Wamiliki wa mikahawa walia kuponzwa na corona

Na SAMMY WAWERU Huku Rais Uhuru Kenyatta akitarajiwa kuhutubia taifa mnamo Alhamisi katika majengo ya bunge, wamiliki wa hoteli wanamsihi...

Corona ilitufungua macho, sasa tunavuna maelfu kwa biashara yetu

NA RICHARD MAOSI Mlipuko wa janga la corona umekuja na changamoto si haba, huku idadi kubwa ya watu wanaokaa mijini,wakipoteza ajira,...

Sababu ya hoteli za Norfolk kufunga biashara Kenya

NA ADONIJAH OCHIENG Kampuni ya hoteli za Fairmont Norfork Nairobi imetangaza kufungwa kwake kwa ghafla na kuwafuta wafanyakazi wote...

COVID-19: Serikali kulipia upimaji wa wahudumu wa hoteli

Na CHARLES WASONGA SERIKALI imewaondolea waamiliki ya mikahawa na hoteli mzigo kwa kutangaza italipia gharama ya wafanyakazi wao kupimwa...

CORONA: Mshubiri kwa hoteli za kifahari

MARGARET MAINA NA RICHARD MAOSI Tangu Waziri wa Afya Mutahi Kagwe atangaze kisa cha kwanza cha Covid -19 nchini, kulizuka tumbojoto...

Hoteli ya Hemingways yajumuishwa kwenye mpango wa hoteli za hadhi

Na WANDERI KAMAU HOTELI ya Hemingways jijini Nairobi, imejiunga na mpango maalum wa Hoteli za Hadhi ya Juu nchini Amerika, maarufu kama...

Wachina waliochapa Mkenya mijeledi kuadhibiwa vikali na serikali

Na LEONARD ONYANGO POLISI wamekamata raia wanne wa China kuhusiana na video iliyochipuka mtandaoni ikionyesha Mchina akichapa viboko...

Hoteli Kisumu zavuna matunda ya muafaka kwenye ziara ya Rais

Na ELIZABETH OJINA-250 MIKAHAWA ya kifahari jijini Kisumu imevuna pakubwa kutokana na ziara ya Rais Uhuru Kenyatta kuzindua mpango wa Afya...

Mbunge na mumewe watimuliwa gesti kwa kukosa cheti cha ndoa

Na ANITA CHEPKOECH MBUNGE Mwakilishi wa Wanawake Kaunti ya Laikipia, Bi Catherine Waruguru na mumewe, mnamo Jumamosi walifukuzwa katika...