• Nairobi
  • Last Updated May 13th, 2024 9:17 PM

DPP kukata rufaa dhidi ya kuachiliwa kwa bwanyenye Humphrey Kariuki

Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) atakata rufaa kupinga uamuzi wa kuachilia huru kwa bwanyenye Humphrey Kariuki...

Humphrey Kariuki aruhusiwa kusafiri ng’ambo

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya Nairobi Jumatano ilitupilia mbali ombi la Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) kupinga bwanyenye Humphrey...

Bwanyenye Kariuki aruhusiwa kusafiri majuu

Na RICHARD MUNGUTI MMILIKI wa kampuni ya kutengeneza pombe ya Africa Spirits Limited (ASL) Humphrey Kariuki anayekabiliwa na shtaka la...

Serikali yakataa kumfungulia bwanyenye akaunti zilizojaa mabilioni

Na Richard Munguti KAMPUNI ya bwanyenye Humphrey Kariuki anayeshtakiwa kwa kukwepa kulipa ushuru wa Sh41 bilioni imewasilisha ombi...

Masuala yaliyofuatiliwa na Wakenya katika Google Search Agosti 2019

Na CHARLES WASONGA WATU wengi walisaka habari kuhusu mechi zilizochezwa katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) Agosti, kulingana na mtandao...