Tag: kanisa
- by T L
- November 15th, 2021
Mfanyabiashara kufungwa kwa kubomoa kanisa
Na RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA anayeshtakiwa kubomoa Kanisa kinyume cha agizo la mahakama kuu anakondolewa macho na kifungo cha jela...
Kanisa la Glory OutReach Assembly lazingatia kuhubiri amani
Na LAWRENCE ONGARO KANISA la Glory OutReach Assembly lililoko Kahawa Wendani limejitolea kuendeleza na kudumisha amani kote nchini kwa...
Kioja waumini wakivunja makufuli sita kanisani
Na RUSHDIE OUDIA KISANGA kilizuka Jumapili asubuhi katika kanisa moja mjini Yala, Kaunti ya Siaya, baada ya kundi la waumini waliojawa...
- by adminleo
- April 9th, 2020
Makanisa sasa yazoea hali ya waumini kuombea nyumbani
NA SAMMY WAWERU Wiki ya pili, makanisa kote nchini yamesalia kufungwa kufuatia agizo la serikali ili kusaidia kudhibiti maenezi ya Covid...
- by adminleo
- March 21st, 2020
Corona yapangua ibada, sadaka kutolewa kwa kutumia M-Pesa
Na FAITH NYAMAI KWA mara ya kwanza katika historia ya Kenya, makanisa mengi yamesitisha ibada zao za Jumapili kote nchini na kuwaruhusu...
- by adminleo
- February 17th, 2020
Akata mti baada ya kukosa cheo kanisani
Na John Musyoki NGETANI, Masinga MUUMINI wa kanisa moja kutoka eneo hili alishangaza watu alipokata mti aliopanda kanisani baada ya...
- by adminleo
- February 16th, 2020
Kanisa la ACK kupokea sadaka kwa M-Pesa kuzima ufisadi
Na KNA ASKOFU Mkuu wa Kanisa Anglikana (ACK) Jackson ole Sapit, amefichua mipango ya kanisa hilo kuanza kupokea sadaka kwa njia ya simu...
- by adminleo
- December 30th, 2019
Mazungumzo baina ya Kanisa na vijana yachangia kuimarika kwa usalama
Na SAMMY KIMATU KANISA linafurahia matunda ya mazungumzo na vijana yaliyochangia kuimarika kwa usalama wakati wa msimu wa...
- by adminleo
- December 12th, 2019
Kanisa Katoliki lapiga marufuku nguo za kubana mwili kanisani
NA SAMMY KIMATU KANISA Katoliki lililo jijini Nairobi limeshangaza wengi kwa kuchapisha na kutundika bango langoni kuhusu mavazi ambayo...
- by adminleo
- December 9th, 2019
Sababu ya Uhuru kumfuata Ruto kanisani
Na VALENTINE OBARA Wakenya wengine walishangaa kwa nini mchango wake ulitangazwa, ilhali Kanisa Katoliki lilitoa masharti mapya kuhusu...
- by adminleo
- July 26th, 2019
Kanisa nalo laweka kibanda katika uwanja wa maonyesho Kisumu
Na MARY WANGARI KANISA Katoliki mjini Kisumu halikuachwa nyuma Alhamisi pale liliweka kibanda katika Maonyesho ya Kilimo yaliyong’oa...
- by adminleo
- March 12th, 2019
Kanisa ladai upangaji uzazi umelipunguzia waumini
Na ALEX NJERU MAKASISI wa Kanisa Katoliki wamelaumu matumizi ya njia za kisasa za upangaji uzazi kama sababu kuu ya kupungua kwa idadi...