Tag: la liga
- by T L
- April 11th, 2022
Barcelona yakomoa Levante na kuingia nafasi ya pili La Liga
Na MASHIRIKA BARCELONA waliendeleza makali yao katika kampeni za Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) msimu huu kwa kutoka nyuma na kuzamisha...
- by T L
- February 17th, 2022
Levante yaduwaza miamba Atletico Madrid ligini
Na MASHIRIKA MATUMAINI ya mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga), Atletico Madrid, kuhifadhi ufalme wa kipute hicho msimu...
- by T L
- December 22nd, 2021
Barcelona na Sevilla watoshana nguvu kwenye La Liga
Na MASHIRIKA BARCELONA walikamilisha kampeni zao za mwaka 2021 kwa matao ya chini baada ya kulazimishiwa sare na Sevilla waliokamilisha...
- by adminleo
- July 17th, 2020
Real Madrid wapepeta Villareal na kunyanyua ubingwa wa La Liga
Na CHRIS ADUNGO REAL Madrid walijitwalia ubingwa wa Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) kwa mara ya kwanza baada ya miaka mitatu huku...
- by adminleo
- July 14th, 2020
Manuel Pellegrini kuanza kunoa vijana wa Real Betis msimu ujao
Na CHRIS ADUNGO KLABU ya Real Betis inayoshiriki Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga), imemwajiri kocha wa zamani wa West Ham United na...
- by adminleo
- May 25th, 2020
COVID-19: Mkuu wa La Liga asisitizia wachezaji umuhimu wa kufuata maagizo
Na MASHIRIKA MADRID, Uhispania MKUU wa Ligi Kuu ya La Liga, Javier Tebas ametoa onyo kali kwa wanasoka nchini hapa baada ya wawili wa...
- by adminleo
- May 24th, 2020
Klabu za La Liga zataka soka ya Uhispania irejelewe Juni 8 badala ya Juni 12
Na CHRIS ADUNGO LIGI Kuu ya Uhispania (La Liga) itarejelewa mnamo Juni 8, 2020, na mechi zote kuchezewa ndani ya viwanja vitupu bila...
- by adminleo
- May 17th, 2020
Wanasoka wa klabu za La Liga kuanza mazoezi ya pamoja katika makundi ya watu 10
Na CHRIS ADUNGO KLABU za Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) zinatarajiwa kuanza mazoezi ya pamoja katika makundi mnamo Mei 18, 2020, katika...
- by adminleo
- May 12th, 2020
La Liga sasa kurejelewa Juni 12
Na MASHIRIKA RAIS wa Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga), Javier Tebas amefichua mipango ya kurejelewa kwa kampeni za kipute hicho msimu huu...
- by adminleo
- May 10th, 2020
Wanasoka watano wa ligi za nchini Uhispania waugua Covid-19
Na CHRIS ADUNGO WACHEZAJI watano wa Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) na Ligi ya Daraja ya Kwanza (Segunda) wamepatikana na virusi vya...
- by adminleo
- March 19th, 2019
Messi afungia Barcelona ‘hat trick’ ya 33 La Liga
Na MASHIRIKA BARCELONA, UHISPANIA LIONEL Messi alifunga mabao matatu katika ushindi wa 4-1 uliosajiliwa na Barcelona dhidi ya Real Betis...
- by adminleo
- December 10th, 2018
La Liga ilivyopoteza ladha bila ya Neymar, Ronaldo kwa mkupuo
Na CHRIS ADUNGO Rais wa Barcelona Josep Bartomeu majuzi alisema kwamba kubanduka kwa nyota Cristiano Ronaldo na Neymar katika soka ya...