• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 8:55 AM

ULIMBWENDE: Tumia maziwa kulainisha ngozi yako

NA MARGARET MAINA [email protected] MTINDI hutengenezwa kwa kuchachisha maziwa. Maziwa yana virutubisho vingi na yenye...

Viwanda kununua maziwa kuanzia Sh33

Na GERALD ANDAE WIZARA ya Kilimo imetangaza kuwa bei ya chini zaidi ya viwanda kununua maziwa itakuwa ni Sh33. Hatua hii inalenga...

AKILIMALI: Lishe bora ya mifugo msimu wa kiangazi

Na RICHARD MAOSI KUENDESHA ufugaji wa ng'ombe wa maziwa msimu wa kiangazi si rahisi, ikizingatiwa kuwa makali ya ukame huathiri malisho...

AKILIMALI: Kiwanda chasifiwa kwa kuboresha maisha vijijini

NA FRANCIS MUREITHI KIWANDA cha maziwa cha Chama cha Ushirika cha Wakulima cha Mumberes, Kaunti ya Baringo, hupokea maelfu ya lita za...

Washtakiwa kuiba maziwa

Na RICHARD MUNGUTI WAFANYAKAZI wakuu katika kampuni ya kutengeneza Maziwa na Chakula ya Highlands walishtakiwa jana kwa wizi wa maziwa...

SIHA NA LISHE: Ukitaka protini kula vyakula hivi

Na MARGARET MAINA [email protected] Kazi za protini mwilini • protini ni muhimu katika kujenga mwili • ni muhimu...

AKILIMALI: Mbuzi wa nyama wamletea faida kuliko wa maziwa

Na PHYLLIS MUSASIA ILI kuwa mfugaji hodari wa mbuzi wa nyama, kunayo mambo muhimu ambayo mtu anapaswa kuzingatia. Kulingana na Bw...

AKILIMALI: Ng’ombe wa kisasa siri yake ya maziwa tele

PIUS MAUNDU na CHARLES WASONGA JAMII ya Wamaasai inajulikana kwa ufugaji na wengi wa wanajamii husika humiliki idadi kubwa ya mifugo...

Gavana aahidi watoto maziwa kila siku katiba ikibadilishwa

Na Gitonga Marete SERIKALI ya Kaunti ya Meru imetumia zaidi ya Sh100 milioni kwa mpango wa kununulia watoto wa chekechea...

Wakulima wa maziwa kulipwa Sh33 kwa lita

Na LEOPOLD OBI SERIKALI imetangaza bei mpya za maziwa kwa wafugaji wadogo. Waziri wa Kilimo, Bw Peter Munya Jumatano aliagiza kampuni...

UFUGAJI: Chumvi na madini faafu kwa mifugo ni muhimu kwa uzalishaji maziwa

Na SAMMY WAWERU ALIPOANZA ufugaji wa ng’ombe wa maziwa zaidi ya miaka saba iliyopita, Gitau Kinuthia alikuwa mateka wa chumvi na...

AKILIMALI: Hatua tano za kuboresha uzalishaji maziwa mashinani

NA RICHARD MAOSI KARIBU na kaunti ya Baringo eneo la Eldama Ravine ni kiwanda cha maziwa kinachowasaidia vijana kupata nafasi ya ajira,...