Tag: MGANGA
Mganga ataka shirika limrejeshee Sh18.5m
Na BRIAN OCHARO MGANGA wa kienyeji, Bw Stephen Vicker Mangira amewasilisha ombi mahakamani kutaka shirika la serikali la kuzuia mali za...
Mimi si mchawi – Raila Odinga
LEONARD ONYANGO na DERICK LUVEGA KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga jana aliendeleza juhudi za kuimarisha uhusiano kati yake na viongozi...
Mganga aliyefumaniwa akiwa uchi kukaa rumande zaidi
Na Lucy Mkanyika MGANGA wa dawa za kienyeji mwenye umri wa miaka 71 katika Kaunti ya Taita Taveta, jana alishtakiwa katika mahakama ya...
- by adminleo
- February 20th, 2020
Mganga azirai mkewe alipookoka
Na John Musyoki KAVATI, Kitui MGANGA wa hapa alianguka na kuzirai baada ya kugundua kwamba mke wake alikuwa ameokoka katika njama ya...
- by adminleo
- December 28th, 2019
Mganga ataka nguo za marehemu
Na JOHN MUSYOKI KYETENI, MASINGA KIOJA kilishuhudiwa baada ya mazishi hapa mganga alipotimuliwa mbio alipotaka akabidhiwe nguo za...
- by adminleo
- August 4th, 2019
Afuta harusi kugundua baba mkwe ni mganga
NA JOHN MUSYOKI KIRITIRI, EMBU JAMAA wa hapa alikatiza mpango wa kuoa kwa harusi alipogundua kwamba baba ya demu aliyekuwa akichumbia...
- by adminleo
- July 30th, 2019
Mganga wa TZ anayedai kufufua maiti akamatwa Taveta
Na LUCY MKANYIKA POLISI mjini Taveta, Kaunti ya Taita Taveta wamemtia mbaroni mwanamume aliyedai kumfufua kijana aliyefariki miaka...
- by adminleo
- July 15th, 2019
Mganga aonya pasta kwa kumchomea biashara
Na TOBBIE WEKESA HAMISI, VIHIGA KIOJA kilizuka eneo hili baada ya mganga kumshambulia pasta akimlaumu kwa kumharibia...
- by adminleo
- June 4th, 2019
Mganga amchemsha mtoto mchanga na kumuua akidai ni tiba
Na GERALD BWISA POLISI mjini Kitale, Kaunti ya Trans Nzoia wamemkamata daktari wa kienyeji ambaye anatuhumiwa kumuua mtoto wa mwaka...
- by adminleo
- March 31st, 2019
Mganga alazimika kurudisha mbuzi wa mteja
Na MIRRIAM MUTUNGA NJUKINI, TAITA TAVETA MGANGA wa hapa alijipata pabaya baada ya jamaa kupiga kambi kwake akimtaka amrudishie...
- by adminleo
- February 8th, 2019
Mganga atibua njama ya stima yake kukatwa
Na DENNIS SINYO Majengo, Sabatia AJENTI wa nyumba za makazi mtaani hapa aliyeenda kukata stima katika nyumba ya mganga, aliondoka...
- by adminleo
- November 19th, 2018
Kipusa taabani kuuza mali apate hela za mganga
Na TOBBIE WEKESA Kapolok, Teso KIPUSA aliyekuwa ameolewa na polo mmoja wa eneo hili alitolewa kijasho alipotakiwa kuelezea sababu...