• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Umaskini chanzo cha mimba za mapema – Shirika

NA KASSIM ADINASI UMASKINI na ukosefu wa mahitaji ya kimsingi vinachangia ongezeko la mimba za wasichana walio na umri mdogo na...

Mimba za mapema zapungua

Na MAUREEN ONGALA WASICHANA wengi walio chini ya umri wa miaka 20 katika Kaunti ya Kilifi wameanza kutumia mbinu za kupanga...

Wasichana 330,000 walipata mimba 2020 – Ripoti

Na MORAA OBIRIA MATINEJA chipukizi zaidi ya 330,000 wenye umri kati ya miaka 10-19 walipachikwa mimba 2020, wakati ambapo wanafunzi...

AFYA: Umuhimu wa mazoezi kwa wajawazito

Na MARGARET MAINA [email protected] MAMA mjamzito anashauriwa afanye mazoezi mepesi angalau kila siku katika kipindi chake...

Sera ya wajawazito kuingia darasani ifutwe, walimu warai

Na CHARLES WANYORO WALIMU wa shule za upili katika eneobunge la Tigania Magharibi, wameitaka serikali kubatilisha sera yake ya kutaka...

Msichana akiri kubadilisha vipimo vya mimba kuokoa aliyemnajisi

Na STEPHEN ODUOR Familia moja enee la Tana Delta imeachwa na mshtuko baada ya kugundua kwamba mtoto wao ambaye alikuwa amenajisiwa...

Mamia ya wasichana wafanyia KCSE hospitali baada ya kujifungua

Na WAANDISHI WETU MAMIA ya watahiniwa wa kike wanafanyia mtihani wao wa Kidato cha Nne (KCSE) hospitalini kote nchini baada ya...

SHAIRI: Msirarue maisha yangu

Nanena nisikike, Nitambulike nipewe haki yangu, Hadhi yangu nipate, Heshima zangu nipokee.   Elimu kamwe...

AFYA: Ngoja ngoja ya miezi tisa kaja na majonzi tele

NA PAULINE ONGAJI Ni mwezi mmoja sasa tangu kumpoteza mwanawe na Fatuma Ibrahim, 27, bado anauguza jeraha lililotokana na upasuaji...

Mwanaharakati ajifunga mnyororo kwenye mnara wa Dedan Kimathi

NA CHARLES WASONGA MWANAMUME mmoja alizua kioja katikati ya jiji la Nairobi Jumatatu, Septemba 14, alipojifunga kwa mnyororo katika...

Wanafunzi wajawazito sasa kuenda shuleni bila vikwazo

Na MASHIRIKA HARARE, Zimbabwe RAIS wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa ametia sahihi sheria inayozuia shule za umma kuwatenga wasichana...

MIMBA ZA MAPEMA: Team Embrace na Inua Mama mko wapi?

Na FARHIYA HUSSEIN MIEZI michache iliyopita, viongozi wanawake chini ya mwavuli wa Team Embrace walionekana wakiwa wamevaa nguo...