Tag: mimba
- by T L
- May 2nd, 2022
Umaskini chanzo cha mimba za mapema – Shirika
NA KASSIM ADINASI UMASKINI na ukosefu wa mahitaji ya kimsingi vinachangia ongezeko la mimba za wasichana walio na umri mdogo na...
- by T L
- November 28th, 2021
Mimba za mapema zapungua
Na MAUREEN ONGALA WASICHANA wengi walio chini ya umri wa miaka 20 katika Kaunti ya Kilifi wameanza kutumia mbinu za kupanga...
Wasichana 330,000 walipata mimba 2020 – Ripoti
Na MORAA OBIRIA MATINEJA chipukizi zaidi ya 330,000 wenye umri kati ya miaka 10-19 walipachikwa mimba 2020, wakati ambapo wanafunzi...
AFYA: Umuhimu wa mazoezi kwa wajawazito
Na MARGARET MAINA [email protected] MAMA mjamzito anashauriwa afanye mazoezi mepesi angalau kila siku katika kipindi chake...
Sera ya wajawazito kuingia darasani ifutwe, walimu warai
Na CHARLES WANYORO WALIMU wa shule za upili katika eneobunge la Tigania Magharibi, wameitaka serikali kubatilisha sera yake ya kutaka...
Msichana akiri kubadilisha vipimo vya mimba kuokoa aliyemnajisi
Na STEPHEN ODUOR Familia moja enee la Tana Delta imeachwa na mshtuko baada ya kugundua kwamba mtoto wao ambaye alikuwa amenajisiwa...
Mamia ya wasichana wafanyia KCSE hospitali baada ya kujifungua
Na WAANDISHI WETU MAMIA ya watahiniwa wa kike wanafanyia mtihani wao wa Kidato cha Nne (KCSE) hospitalini kote nchini baada ya...
SHAIRI: Msirarue maisha yangu
Nanena nisikike, Nitambulike nipewe haki yangu, Hadhi yangu nipate, Heshima zangu nipokee. Elimu kamwe...
AFYA: Ngoja ngoja ya miezi tisa kaja na majonzi tele
NA PAULINE ONGAJI Ni mwezi mmoja sasa tangu kumpoteza mwanawe na Fatuma Ibrahim, 27, bado anauguza jeraha lililotokana na upasuaji...
Mwanaharakati ajifunga mnyororo kwenye mnara wa Dedan Kimathi
NA CHARLES WASONGA MWANAMUME mmoja alizua kioja katikati ya jiji la Nairobi Jumatatu, Septemba 14, alipojifunga kwa mnyororo katika...
Wanafunzi wajawazito sasa kuenda shuleni bila vikwazo
Na MASHIRIKA HARARE, Zimbabwe RAIS wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa ametia sahihi sheria inayozuia shule za umma kuwatenga wasichana...
- by adminleo
- July 14th, 2020
MIMBA ZA MAPEMA: Team Embrace na Inua Mama mko wapi?
Na FARHIYA HUSSEIN MIEZI michache iliyopita, viongozi wanawake chini ya mwavuli wa Team Embrace walionekana wakiwa wamevaa nguo...