Tag: mungiki
Mazishi ya dakika 20 ya aliyekuwa kinara wa ‘Mungiki’
Na MWANGI MUIRURI ALIYEKUWA kinara wa kundi haramu la Mungiki ukanda wa Kati ya Mlima Kenya kati ya 2001 na 2008 Mwangi wa Njoki...
- by adminleo
- May 29th, 2020
Mungiki wazimwe kabisa Mlima Kenya – Kibicho
NA GEORGE MUNENE KATIBU katika Wizara ya Usalama wa Ndani Bw Karanja Kibicho ameamuru kuzimwa kwa kundi la uhalifu la Mungiki...
- by adminleo
- October 28th, 2019
Wasiwasi wazuka baada ya makundi ya Mungiki, Gaza kuungana
Na TAIFA RIPOTA TAHARUKI imezuka upya katika eneo la Kati kufuatia habari za kuungana kwa makundi ya uhalifu ya Gaza na...
- by adminleo
- August 7th, 2019
Polisi Mungiki wanavyotesa wananchi
Na MWANDISHI WETU HUKU makundi ya wahalifu yakiendelea kuhangaisha raia, baadhi ya maafisa wa polisi wamebuni magenge yao ya kuchukua...
- by adminleo
- May 3rd, 2019
Magenge hatari yalivyoteka nchi
Na LEONARD ONYANGO WAKENYA wengi wanaendelea kuishi roho mkononi huku magenge ya wahalifu yakizidi kongezeka na polisi kuonekana...
- by adminleo
- May 2nd, 2019
Mungiki, Usiku Sacco na Gaza wahangaisha wafanyabiashara
NICHOLAS KOMU na NDUNGU GACHANE VISA vya uvamizi unaotekelezwa na magenge ya wahalifu vinazidi kuongezeka katika eneo la Kati huku...
- by adminleo
- October 23rd, 2018
24 wanaswa katika msako dhidi ya Mungiki
Na NICHOLAS KOMU WATU 24 walikamatwa katika Kaunti ya Nyeri kwa kuhusishwa na kundi haramu la Mungiki, huku wahalifu wawili sugu...
- by adminleo
- October 22nd, 2018
Hofu Mungiki wakirejea kuhangaisha wakazi
NICHOLAS KOMU na JOSEPH WANGUI WASIWASI umetanda kwamba kundi la Mungiki limeibuka upya na sasa linasajili hata watoto wa shule katika...