Tag: sonko
Sonko aandamana na wakili wake hadi afisi za DCI
Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Mike Sonko Jumatatu alifika katika makao makuu ya Uchunguzi wa Jinai (DCI) kuhojiwa na...
Sonko agundua kumbe Nairobi ina wajanja kumliko
Na COLLINS OMULO ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko, aliingia kwenye mtego wa mahasimu wake kisiasa jijini bila kujua, duru...
UGAVANA NAIROBI: Margaret Wanjiru alivyogeuka mwiba kwa UhuRaila
Na CHARLES WASONGA NI rasmi sasa kwamba uchaguzi mdogo wa ugavana wa Nairobi utafanyika Februari 18 kama ilivyotangazwa na Tume Huru ya...
Wanasiasa wakosa adabu mazikoni
Na KITAVI MUTUA WANASIASA mnamo Jumanne waligeuza mazishi ya Seneta Boniface Kabaka wa Machakos kuwa jukwaa la kurushiana cheche za...
Polisi wamtoa Sonko machozi mkutanoni
Na COLLINS OMULO KIZAAZAA kilizuka jijini Nairobi jana Jumatatu polisi walipotumia gesi ya kutoa machozi kutawanya mkutano ambao Gavana...
Sonko awalilia Rais, Raila asing’atuliwe
Na COLLINS OMULO GAVANA wa Nairobi, Bw Mike Mbuvi Sonko amenyenyekea kwa Rais Uhuru Kenyatta huku akikumbatia mbinu mbalimbali ili...
Je, Sonko anajichongea kumshambulia Rais?
Na CHARLES WASONGA GAVANA wa Nairobi Mike Sonko amewaacha wengi vinywa wazi katika siku za hivi karibuni kutokana na hatua yake ya...
Sonko ashtakiwa upya
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya kesi za ufisadi Alhamisi ilitupilia mbali ombi la Gavana wa Nairobi Mike Sonko kupinga akishtakiwa upya...
Kesi ya Sonko yasikizwa faraghani
Na RICHARD MUNGUTI KESI ya ufisadi wa Sh10 milioni dhidi ya Gavana Mike Sonko na washtakiwa wengine wawili Antoy Ombok Otieno na kampuni...
Sonko aruhusiwa kusuluhishia nje ya mahakama kesi ya ufisadi wa Sh357 milioni
Na RICHARD MUNGUTI GAVANA wa Kaunti ya Nairobi Mike Sonko na washukiwa wengine 16 wameruhusiwa kushauriana na mkurugenzi wa mashtaka ya...
Sonko kuondoa kesi dhidi ya NMS
Na COLLINS OMULO GAVANA wa Nairobi, Mike Sonko alitangaza Alhamisi kuwa ataondoa kesi zote dhidi ya Idara ya Huduma za Nairobi...
Sonko atambua jenerali
Na VALENTINE OBARA HATIMAYE Gavana Mike Sonko amekunja mkia na kubadili msimamo wake wa awali kuhusu Idara ya Huduma za Nairobi...