Shangazi Akujibu

SHAGAZI AKUJIBU: Ananisubiri na vyombo kila nikimtembelea

Na SHANGAZI November 26th, 2025 Kusoma ni dakika: 1

SWALI: Mwanaume ninayempenda hukula na kuacha vyombo mezani bila kuosha. Chumba hakifagiliwi hadi mimi nirudi. Huwa namtembelea kila wikendi na nikifika nyumba ina harufu baya. Nimechoka kubebwa kama mbochi. Nipe ushauri.

Jibu: Zungumzeni umwambie unachohisi. Kando na hayo, anafaa kufahamu kuwa wewe si mfanyakazi wake bali ni mpenzi wake.

IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO