Carol Njeha, 30, anatupambia tovuti yetu. Yeye ni mfanyabiashara na mwanamitindo jijini Nairobi. Uraibu wake ni kusakata densi, kupika na...
Wema Kaimenyi, 19, ni mwanamitindo katika Chuo Kikuu cha Moi. Anapenda kuandika, kuigiza na kutembea. Picha/ Richard Maosi
Wema Kaimenyi, 19, ni mwanamitindo katika Chuo Kikuu cha Moi. Anapenda kuandika, kuigiza na kutembea. Picha/ Richard Maosi
Juliana Nyaboke, 23, ni mzaliwa wa Kaunti ya Kisii. Yeye ni mwanamitindo na mfanyibiashara maarufu. Uraibu wake ni kusoma vitabu na...
Malkia wetu anafahamika kama Teresia Sorobi, 25. Yeye ni mfanyibiashara katika Kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kupika na kutazama filamu...
Dee Msanii, 24, ni mwimbaji na mwigizaji shupavu katika Kaunti ya Kisii. Anapenda kusikiliza muziki wa kizazi kipya. Picha/Richard...
Faith Nyambura, 20, anatupambia tovuti yetu. Yeye ni mwanafunzi wa uanahabari katika chuo kimoja mjini Nakuru. Uraibu wake ni kusafiri,...
Anne Muoria ni mzaliwa wa kaunti ya Taita Taveta. Yeye ni mwanafunzi katika Chuo cha Mount Kenya bewa kuu mjini Thika. Anapenda kusafiri na...
Cecilia Mwangi, 25, ni mwanamitindo katika Kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kusoma vitabu. Picha/Richard Maosi
Diana Wangoi, 22, ni mwanamitindo katika Kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kujumuika na marafiki. Picha/Richard Maosi
Ann Wangoi ni mfanyabiashara katika kaunti ndogo ya Molo. Anapenda kuchora, kupika na kuogelea. Picha/Richard Maosi
Agnes Mastura, 21, ni mzaliwa wa kaunti ya Kitui na uraibu wake ni kupika na kusafiri. Picha/Richard Maosi