• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 5:50 AM

BI TAIFA AGOSTI 14, 2019

Carol Njeha, 30,  anatupambia tovuti yetu. Yeye ni mfanyabiashara na mwanamitindo jijini Nairobi. Uraibu wake ni kusakata densi, kupika na...

BI TAIFA AGOSTI 13, 2019

Wema Kaimenyi, 19, ni mwanamitindo katika Chuo Kikuu cha Moi. Anapenda kuandika, kuigiza na kutembea. Picha/ Richard Maosi

BI TAIFA AGOSTI 12, 2019

Wema Kaimenyi, 19, ni mwanamitindo katika Chuo Kikuu cha Moi. Anapenda kuandika, kuigiza na kutembea. Picha/ Richard Maosi

BI TAIFA AGOSTI 11, 2019

Juliana Nyaboke, 23, ni mzaliwa wa Kaunti ya Kisii.  Yeye ni mwanamitindo na mfanyibiashara maarufu. Uraibu wake ni kusoma vitabu na...

BI TAIFA AGOSTI 10, 2019

Malkia wetu anafahamika kama Teresia Sorobi, 25. Yeye ni mfanyibiashara katika Kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kupika na kutazama filamu...

BI TAIFA AGOSTI 09, 2019

Dee Msanii, 24, ni mwimbaji na mwigizaji shupavu katika Kaunti ya Kisii. Anapenda kusikiliza muziki wa kizazi kipya. Picha/Richard...

BI TAIFA AGOSTI 08, 2019

Faith Nyambura, 20, anatupambia tovuti yetu. Yeye ni mwanafunzi wa uanahabari katika chuo kimoja mjini Nakuru. Uraibu wake ni kusafiri,...

BI TAIFA AGOSTI 07, 2019

Anne Muoria ni mzaliwa wa kaunti ya Taita Taveta. Yeye ni mwanafunzi katika Chuo cha Mount Kenya bewa kuu mjini Thika. Anapenda kusafiri na...

BI TAIFA AGOSTI 06, 2019

Cecilia Mwangi, 25, ni mwanamitindo katika Kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kusoma vitabu. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA AGOSTI 05, 2019

Diana Wangoi, 22, ni mwanamitindo katika Kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kujumuika na marafiki. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA AGOSTI 04, 2019

Ann Wangoi ni mfanyabiashara katika kaunti ndogo ya Molo. Anapenda kuchora, kupika na kuogelea. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA AGOSTI 03, 2019

Agnes Mastura, 21, ni mzaliwa wa kaunti ya Kitui na uraibu wake ni kupika na kusafiri. Picha/Richard Maosi