• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 2:56 PM

Elimu: Taita Taveta yakabiliwa na uhaba wa walimu, mimba za mapema

NA ANTHONY KITIMO SWALA la uhaba wa walimu na mimba za mapema kwa wanafunzi limetajwa kuwa chanzo kikubwa cha kudorora kwa viwango za...

Polisi wasaka mwanamume aliyetoa orodha ya anaolenga kuua

NA MWANGI MUIRURI POLISI katika Kaunti ya Murang’a wanamsaka mfungwa za zamani ambaye ametoa orodha ya watu 10 anaopanga kuua katika...

Maafisa wachunguza vifo vya watu wawili Makadara

NA SAMMY KIMATU MAKACHERO katika Kaunti ndogo ya Makadara wanachunguza visa viwili kuhusu watu wawili kufariki katika maeneo...

Chelogoi aonywa dhidi ya kuingiza siasa katika kesi

NA RICHARD MUNGUTI ONYO kali limetolewa dhidi ya aliyekuwa naibu mkuu wa mkoa wa Nairobi Davis Nathan Chelogoi kwamba atajua kilichomtoa...

Serikali yasitisha zabuni za mashirika ya umma kukata matumizi

NA BRIAN AMBANI SERIKALI imepiga marufuku zabuni ya ununuzi wa vifaa vyenye nembo za idara mbalimbali za serikali, kama njia ya...

Serikali ya Taita Taveta vitani kukomboa Mtito Andei na Mackinnon Road

NA LUCY MKANYIKA SERIKALI ya Kaunti ya Taita Taveta imeagiza wafanyabiashara walioko katika miji yenye utata ya Mtito Andei na Mackinnon...

Mapango ya hongo yaangaziwa katika ripoti ya EACC, Nyamira ikiwika

NA BENSON MATHEKA IKIWA unataka huduma ya aina yoyote katika serikali ya kitaifa na kaunti hasa Nyamira, Baringo, Siaya, Bungoma, Turkana,...

Buriani Rita Tinina

NA JOHN NJOROGE MWANAHABARI mashuhuri na aliyekuwa Mhariri katika runinga ya NTV Rita Tinina alizikwa Jumatano nyumbani kwao katika...

Serikali yaamuru NCPB ikome kuuza mbolea aina ya NPK inayoshukiwa kuwa ghushi

NA CHARLES WASONGA KATIBU wa Wizara ya Kilimo Paul Ronoh ameamuru kusitishwa kwa uuzaji wa mbolea kwa jina NPK 10: 26:10 inayotengenezwa...

Rudini kazi au mfutwe kazi, madaktari waonywa

NA CHARLES WASONGA BARAZA la Magavana (CoG) sasa linawataka madaktari wanaogoma kurejea kazini la sivyo wapigwe kalamu. Mwenyekiti wa CoG...

Serikali sasa yaahidi kusaidia familia za waliokufa Shakahola

MAUREEN ONGALA Na VALENTINE OBARA SERIKALI inaonekana kubadilisha nia na kuahidi kusaidia familia za waathiriwa wa mauaji ya Shakahola kwa...

Tshisekedi na Kagame wakubali kukutana kujadili amani mashariki mwa DRC

NA PATRICK ILUNGA KINSHASA, DRC RAIS wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Felix Tshisekedi na mwenzake wa Rwanda Paul Kagame,...