• Nairobi
  • Last Updated June 2nd, 2023 9:28 PM

Omtatah ataka vipengee tata 13 ving’olewe kwenye Mswada wa Fedha

NA RICHARD MUNGUTI SENETA wa Busia Okiya Omtatah ameanza mchakato wa kuokoa wananchi kwa kupeleka kesi katika Mahakama Kuu akiomba...

Polisi wawili wauawa na Al-Shabaab katika Kaunti ya Mandera

NA MANASE OTSIALO MAAFISA wawili wa polisi wameaga dunia huku wengine watano wakijeruhiwa kwenye shambulio la kigaidi katika Kaunti ya...

‘Nabii Yohana wa Tano’ ahojiwa na maafisa wa DCI, polisi

NA JESSE CHENGE MHUBIRI wa kanisa la Muungano Church for All Nations, Geoffrey Nakalira Wanyama,83, almaarufu 'Nabii Yohana wa Tano'...

Omtatah awasilisha kesi kupinga Mswada wa Fedha 2023

NA RICHARD MUNGUTI SENETA wa Busia Okiya Omtatah amewasilisha kesi katika Mahakama ya Milimani jijini Nairobi leo Ijumaa akiiomba itie...

Upande wa mashtaka waomba Mackenzie aendelee kukaa kizuizini kwa siku 60 zaidi

NA WACHIRA MWANGI MHUBIRI wa kanisa la Good News International Paul Mackenzie amefikishwa katika Mahakama ya Shanzu jijini Mombasa leo...

Rais Biden aanguka baada ya kuongoza hafla ya kufuzu kwa wanajeshi

Na MASHIRIKA RAIS wa Amerika Joe Biden mnamo Alhamisi alijikwaa na kuanguka baada ya kuongoza hafla ya kufuzu kwa wanajeshi katika Chuo...

Madaraka Dei: Viti vingi vyakosa wa kuvikalia uwanjani KMTC Siaya

NA KASSIM ADINASI WAKAZI wachache wa Kaunti ya Siaya wamejitokeza katika uwanja wa KMTC kuadhimisha makala ya 60 ya Madaraka Dei,...

Msitilie shaka Ada ya Ujenzi wa Nyumba, Rais awasihi Wakenya

NA MWANDISHI WETU RAIS William Ruto amewataka Wakenya wawe na imani na mpango wa serikali ya Kenya Kwanza kutaka asilimia tatu ya...

Wasioonyesha uzalendo kuadhibiwa nchini Zimbabwe

NA KITSEPILE NYATHI HARARE, ZIMBAMBWE BUNGE la Zimbabwe mnamo Jumatano lilipitisha sheria yenye utata ambayo inalenga kuwaadhibu raia...

Gachagua: Wakenya wengi wanaamini mikakati ya Rais itaimarisha uchumi wa nchi

NA MWANDISHI WETU NAIBU Rais Rigathi Gachagua amesema anaamini Wakenya wengi wanaunga mkono mikakati ya Rais William Ruto kuikomboa...

Reuben Kigame aitaka Azimio isitishe vitisho kugawa nchi

NA TITUS OMINDE ALIYEKUWA mgombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu wa 2022 Reuben Kigame ametaka kiongozi wa Azimio la Umoja - One...

Sekta za elimu na miundomsingi zatengewa kiasi kikubwa cha mgao wa bajeti

EDWIN MUTAI Na CHARLES WASONGA SEKTA za elimu, miundomsingi na ulipaji deni ndizo zitafyonza sehemu kubwa ya mgao wa fedha katika Bajeti...