Raila alegeza kasi ya maandamano kuenda Ikulu

NA SAMMY WAWERU KINARA wa Azimio Raila Odinga ameashiria kulegeza kamba kuhusu mpango wa maandamano mnamo Jumatatu. Awali, Bw Raila...

Wabunge Kihara na Ichungwa wamtaka Kenyatta kutangaza msimamo wake kuhusu maandamano ya Azimio

NA LABAAN SHABAAN WABUNGE wa kambi tawala ya Kenya Kwanza, wamemtaka Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta kuvunja kimya kuhusu msimamo wake wa...

Mkishiriki maandamano mtahatarisha nafasi zenu kazini, COTU yaonya wafanyakazi

NA CHARLES WASONGA MUUNGANO wa Wafanyakazi Nchini (COTU) umewashauri wafanyakazi kwamba wasishiriki maandamano yaliyotangazwa kuongozwa na...

Malala amtaka Ida Odinga kuandalia UDA chai na ugali siku ya maandamano

NA SAMMY WAWERU  KATIBU Mkuu wa United Democratic Alliance (UDA) Cleophas Malala ametishia kuvamia makazi ya kiongozi wa Orange...

Wakenya puuzeni hiyo likizo mwitu ya Raila, asema Gachagua

NA MWANGI NDIRANGU NAIBU Rais Rigathi Gachagua amewarai Wakenya kupuuzilia mbali wito wa muungano wa Azimio la Umoja kwamba Jumatatu...

Jopo la IEBC latoa hakikisho la kuteua mwenyekiti kwa njia ya haki

NA CHARLES WASONGA JOPO la kuteua mwenyekiti na makamishna limewahakikishia Wakenya kwamba litaendesha shughuli hiyo kwa njia ya haki,...

Idadi ya watu waliouawa na kimbunga Freddy, Malawi imefika 326

NA AFP BLANTYRE, Malawi IDADI ya watu waliokufa kutokana na kimbunga Freddy nchini Malawi imeongezeka hadi 326, Rais wa nchi hiyo Lazarus...

Mchanga wa ufuoni unavyotia ladha njugu

NA JURGEN NAMBEKA KWA kawaida, mchanga mweupe wa baharini katika Pwani za Kenya huaminika kuwa sehemu ya kivutio kikuu cha utalii. Lakini...

Kisanga kituo cha polisi Nakuru wanaume 2 wakihubiri juu ya mti wakiwa uchi

NA MERCY KOSKEI KISANGA kilishuhudiwa Ijumaa katika Kituo Kikuu cha polisi Nakuru, baada ya wanaume wawili kukwea mti wakiwa uchi na...

Wetang’ula ashauri EALA ipigwe jeki

NA BENSON MATHEKA SPIKA wa Bunge la Taifa Dkt Moses Wetang’ula amesema kwamba kuna haja ya kongamano spesheli la Jumuiya ya Afrika...

Ruto atuza wafuasi bila mahasla halisi

NA CHARLES WASONGA SERIKALI ya Rais William Ruto itatumia zaidi ya Sh4 bilioni kulipa mishahara ya wandani wake aliowateua kuwa mawaziri...

Mbolea nafuu yatekwa na mabroka Kakamega

NA SHABAN MAKOKHA JUHUDI za serikali ya Kaunti ya Kakamega kuinua utoshelevu wa chakula huenda hazitatimia baada ya mabroka kuvamia mpango...