NA CHARLES WASONGA JOPO la kuteua mwenyekiti na makamishna limewahakikishia Wakenya kwamba litaendesha shughuli hiyo kwa njia ya haki,...
NA AFP BLANTYRE, Malawi IDADI ya watu waliokufa kutokana na kimbunga Freddy nchini Malawi imeongezeka hadi 326, Rais wa nchi hiyo Lazarus...
NA JURGEN NAMBEKA KWA kawaida, mchanga mweupe wa baharini katika Pwani za Kenya huaminika kuwa sehemu ya kivutio kikuu cha utalii. Lakini...
NA MERCY KOSKEI KISANGA kilishuhudiwa Ijumaa katika Kituo Kikuu cha polisi Nakuru, baada ya wanaume wawili kukwea mti wakiwa uchi na...
NA BENSON MATHEKA SPIKA wa Bunge la Taifa Dkt Moses Wetang’ula amesema kwamba kuna haja ya kongamano spesheli la Jumuiya ya Afrika...
NA CHARLES WASONGA SERIKALI ya Rais William Ruto itatumia zaidi ya Sh4 bilioni kulipa mishahara ya wandani wake aliowateua kuwa mawaziri...
NA SHABAN MAKOKHA JUHUDI za serikali ya Kaunti ya Kakamega kuinua utoshelevu wa chakula huenda hazitatimia baada ya mabroka kuvamia mpango...
FRED KIBOR, GEOFFREY ONDIEKI NA FLORAH KOECH WANAJESHI wa KDF na maafisa wa usalama wanaoendesha operesheni ya kudhibiti ujambazi eneo la...
NA CHARLES WASONGA BARAZA la Vyombo vya Habari Nchini (MCK) inatayarisha Sera ya kwanza ya Kitaifa kuhusu Vyombo vya Habari na Uelewa wa...
NA SAMMY WAWERU ALIYEKUWA seneta maalum Millicent Omanga ni miongoni mwa walioteuliwa na Rais William Ruto kuhudumu kama mawaziri...
NA MWANDISHI WETU RAIS William Ruto mnamo Alhamisi amewateua Mawaziri Wasaidizi (CAS) 50 kusimamia wizara 22. Kwenye orodha...
NA CHARLES WASONGA MBUNGE wa Likoni Mishi Mboko (ODM) amemkemea kiongozi fulani wa Kenya Kwanza akidai alitoa matamshi yaliyofasiriwa...