• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 8:55 PM

Hofu baada ya wanne kujeruhiwa na mifugo kuzikwa kwenye maporomoko ya tope

NA OSCAR KAKAI CHEPURAI Ng’oletiang, mwenye umri wa miaka 45, mama wa watoto watano alikuwa kwenye shughuli ya kuandaa chamcha majira...

Iraq yashambulia kambi ya Amerika kwa roketi nchini Syria

HASAK, SYRIA NA MASHIRIKA ROKETI zilirushwa Jumapili jioni kutoka kaskazini mwa Iraq katika kambi ya kijeshi nchini Syria inayohifadhi...

Duale: Jenerali Ogolla alitumwa Bomas na wakubwa wake

NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Ulinzi Aden Duale amemtetea marehemu Jenerali Francis Ogolla dhidi ya madai kuwa ni miongoni mwa waliojaribu...

Iran yafananisha shambulio la Israel na ‘kalongolongo’

NA MASHIRIKA TEHRAN, IRAN SERIKALI ya Iran imedunisha shambulio lililotekelezwa na Israel mnamo Ijumaa, huku ikilirejelea kama hafifu na...

Jenerali Ogolla alikufa akitekeleza agizo la Ruto

NA OSCAR KAKAI JENERALI Francis Ogolla aliyefariki dunia katika ajali ya helikopta Alhamisi alikuwa katika ziara ya kutekeleza agizo la...

Mmiliki wa kilabu, wafanyakazi wake wapatikana na hatia ya kumuua mbunge wa zamani George Thuo

NA RICHARD MUNGUTI MMILIKI wa Porkies Club Paul Wainaina Boiyo na wafanyakazi wake watano wamepatikana na hatia ya kumuua aliyekuwa...

Sajini Mkuu John Kinyua alikuwa akutane na familia akitoka ziara ya kikazi Bonde la Ufa

Na GEORGE MUNENE FAMILIA ya Sajini Mkuu John Kinyua Mureithi aliyeangamia baada ya helikopta ya kijeshi kuanguka Alhamisi, ameacha familia...

Kapteni Litali alifariki akisubiri kupandishwa cheo kuwa meja

Na JOSEPH OPENDA FAMILIA ya Kapteni Hillary Shirekule Litali, aliyeangamia katika ajali ya ndege Alhamisi, imemtaja kama mchangamfu,...

Amerika yawafurusha raia 50 wa Haiti waliotoroka vita nchini kwao

NA MASHIRIKA WASHINGTON DC, AMERIKA AMERIKA imewafurusha raia 50 wa Haiti ambao walihamia Washington kutokana na mapigano makali...

Mkuu wa Majeshi kuzikwa jinsi alivyoagiza

WINNIE ONYANDO NA ANTHONY KITIMO MKUU wa Majeshi (KDF), Jenerali Francis Omondi Ogolla ambaye aliaga dunia Alhamisi Aprili 18, 2024 katika...

Mung’aro aomboleza mwanajeshi Mpwani ambaye alifariki katika ajali

Na WACHIRA MWANGI GAVANA wa Kilifi Gideon Mung’aro amemwomboleza Brigedia Jenerali Said Nzaro Swaleh ambaye aliaga dunia katika ajali ya...

Wakazi wasema ‘propela ya helikopta ilikwama’

NA TITUS OMINDE WAKAZI zaidi ya 20 walio wanachama wa ardhi ya jamii ya Sindar ambapo ajali iliyomuua Jenerali Francis Ogolla...