Jopo la IEBC latoa hakikisho la kuteua mwenyekiti kwa njia ya haki

NA CHARLES WASONGA JOPO la kuteua mwenyekiti na makamishna limewahakikishia Wakenya kwamba litaendesha shughuli hiyo kwa njia ya haki,...

Idadi ya watu waliouawa na kimbunga Freddy, Malawi imefika 326

NA AFP BLANTYRE, Malawi IDADI ya watu waliokufa kutokana na kimbunga Freddy nchini Malawi imeongezeka hadi 326, Rais wa nchi hiyo Lazarus...

Mchanga wa ufuoni unavyotia ladha njugu

NA JURGEN NAMBEKA KWA kawaida, mchanga mweupe wa baharini katika Pwani za Kenya huaminika kuwa sehemu ya kivutio kikuu cha utalii. Lakini...

Kisanga kituo cha polisi Nakuru wanaume 2 wakihubiri juu ya mti wakiwa uchi

NA MERCY KOSKEI KISANGA kilishuhudiwa Ijumaa katika Kituo Kikuu cha polisi Nakuru, baada ya wanaume wawili kukwea mti wakiwa uchi na...

Wetang’ula ashauri EALA ipigwe jeki

NA BENSON MATHEKA SPIKA wa Bunge la Taifa Dkt Moses Wetang’ula amesema kwamba kuna haja ya kongamano spesheli la Jumuiya ya Afrika...

Ruto atuza wafuasi bila mahasla halisi

NA CHARLES WASONGA SERIKALI ya Rais William Ruto itatumia zaidi ya Sh4 bilioni kulipa mishahara ya wandani wake aliowateua kuwa mawaziri...

Mbolea nafuu yatekwa na mabroka Kakamega

NA SHABAN MAKOKHA JUHUDI za serikali ya Kaunti ya Kakamega kuinua utoshelevu wa chakula huenda hazitatimia baada ya mabroka kuvamia mpango...

KDF, polisi waanza kuwashambulia majangili Bondeni

FRED KIBOR, GEOFFREY ONDIEKI NA FLORAH KOECH WANAJESHI wa KDF na maafisa wa usalama wanaoendesha operesheni ya kudhibiti ujambazi eneo la...

MCK yaunda sera ya kukuza uelewa wa habari

NA CHARLES WASONGA BARAZA la Vyombo vya Habari Nchini (MCK) inatayarisha Sera ya kwanza ya Kitaifa kuhusu Vyombo vya Habari na Uelewa wa...

Omanga kuwa CAS Wizara ya Usalama wa Ndani akipitishwa na bunge

NA SAMMY WAWERU ALIYEKUWA seneta maalum Millicent Omanga ni miongoni mwa walioteuliwa na Rais William Ruto kuhudumu kama mawaziri...

Rais Ruto ateua CAS 50 kusimamia wizara 22

NA MWANDISHI WETU RAIS William Ruto mnamo Alhamisi amewateua Mawaziri Wasaidizi (CAS) 50 kusimamia wizara 22. Kwenye orodha...

Wanaompangia Raila maovu wajue Mwenyezi Mungu atamlinda – Mishi Mboko

NA CHARLES WASONGA MBUNGE wa Likoni Mishi Mboko (ODM) amemkemea kiongozi fulani wa Kenya Kwanza akidai alitoa matamshi yaliyofasiriwa...