NA WINNIE ONYANDO GAVANA wa Nairobi Johnson Sakaja na Waziri wa Ulinzi, Aden Duale sasa wanavutania matumizi ya bustani za Central na...
Na COLLINS OMULO SERIKALI sasa haitaruhusu mikutano yoyote ya kisiasa kuandaliwa ndani ya bustani ya Uhuru na Central Park...
NEHEMIAH OKWEMBAH NA VALENTINE OBARA KWA Bi Veronica Amanya, 21, uamuzi wa kuolewa baada ya kuhamia Msitu wa Shakahola na baadhi ya...
NA WINNIE ONYANDO MADIWANI wawili wa Kaunti ya Nairobi watalazimika kufika mbele ya Kamati ya Mamlaka ya Hadhi ya Bunge kueleza ni kwa...
NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA WAFANYABIASHARA Uganda Jumatano waligoma kupinga utekelezaji wa mfumo mpya ambao utawalazimisha kulipa...
NA ANTHONY KITIMO HOFU ilitanda katika eneo la Saba Saba, Kaunti ya Mombasa baada ya mlipuko kutokea Jumanne usiku katika kituo cha kuuza...
Na FLORAH KOECH WAKAZI wa kijiji cha Chemogoch, Eldama Ravine, Kaunti ya Baringo wameshangazwa na kisa cha mwanaume mmoja aliyevua nguo...
RUTH MBULA NA WYCLIFFE NYABERI WAFUASI wa chama cha ODM katika kaunti ya Kisii wametishia kuandamana kuanzia Ijumaa wiki hii kwa wiki...
NA BRIAN OCHARO WAPELELEZI wa Idara ya Kuchunguza Uhalifu (DCI) kutoka kwa Kitengo cha Kuchunguza Uhalifu wa Kifedha, wanachunguza kisa...
NA BRIAN OCHARO MHUBIRI mwenye utata Paul Mackenzie na washtakiwa wenzake 94 wa vifo vya Shakahola watasalia gerezani hadi kesi ambayo...
PURITY KINUTHIA NA RICHARD MAOSI WAKAZI wa mitaa ya Nakuru wameshindwa kuvumilia mahangaiko ya kuvamiwa, kuibiwa na kucharazwa na nyani...
NA WYCLIFFE NYABERI DARAJA la Nyamache, lililofanya baadhi ya wakazi wa eneobunge la Bobasi, Kaunti ya Kisii kuandamana Jumatatu, Aprili...