• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 6:27 PM

Duale, Sakaja wavutania matumizi ya bustani za Central na Uhuru

NA WINNIE ONYANDO GAVANA wa Nairobi Johnson Sakaja na Waziri wa Ulinzi, Aden Duale sasa wanavutania matumizi ya bustani za Central na...

Serikali yapiga marufuku mikutano ya kisiasa Uhuru Park katika hatua ya kihistoria

Na COLLINS OMULO SERIKALI sasa haitaruhusu mikutano yoyote ya kisiasa kuandaliwa ndani ya bustani ya Uhuru na Central Park...

Kuolewa kulinisaidia kutoroka mauti msituni Shakahola

NEHEMIAH OKWEMBAH NA VALENTINE OBARA KWA Bi Veronica Amanya, 21, uamuzi wa kuolewa baada ya kuhamia Msitu wa Shakahola na baadhi ya...

MCAs waliovujisha video ya spika ‘akilazimisha’ mwanamke amkumbatie kuitwa kujitetea

NA WINNIE ONYANDO MADIWANI wawili wa Kaunti ya Nairobi watalazimika kufika mbele ya Kamati ya Mamlaka ya Hadhi ya Bunge kueleza ni kwa...

Wafanyabiashara Uganda wagoma kupinga mfumo mpya unaowalazimu kulipa ushuru wa juu

NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA WAFANYABIASHARA Uganda Jumatano waligoma kupinga utekelezaji wa mfumo mpya ambao utawalazimisha kulipa...

Wasiwasi tanki la petroli likifuka moshi usiku katika kituo cha mafuta

NA ANTHONY KITIMO HOFU ilitanda katika eneo la Saba Saba, Kaunti ya Mombasa baada ya mlipuko kutokea Jumanne usiku katika kituo cha kuuza...

Mwanamume avua nguo na kujitia kitanzi baada ya kugombana na mkewe

Na FLORAH KOECH WAKAZI wa kijiji cha Chemogoch, Eldama Ravine, Kaunti ya Baringo wameshangazwa na kisa cha mwanaume mmoja aliyevua nguo...

Wafuasi wa Arati watishia kuandamana kulalamikia masaibu anayopitia

RUTH MBULA NA WYCLIFFE NYABERI WAFUASI wa chama cha ODM katika kaunti ya Kisii wametishia kuandamana kuanzia Ijumaa wiki hii kwa wiki...

Polisi alivyotumia gari la wenyewe alilokuwa akilinda kujipatia mkopo

NA BRIAN OCHARO WAPELELEZI wa Idara ya Kuchunguza Uhalifu (DCI) kutoka kwa Kitengo cha Kuchunguza Uhalifu wa Kifedha, wanachunguza kisa...

Mackenzie sasa hataona nje ya jela mpaka kesi dhidi yake ikamilike

NA BRIAN OCHARO MHUBIRI mwenye utata Paul Mackenzie na washtakiwa wenzake 94 wa vifo vya Shakahola watasalia gerezani hadi kesi ambayo...

Nyani wateka ploti, waiba, kucharaza na kutimua wapangaji

PURITY KINUTHIA NA RICHARD MAOSI WAKAZI wa mitaa ya Nakuru wameshindwa kuvumilia mahangaiko ya kuvamiwa, kuibiwa na kucharazwa na nyani...

Daraja la aibu lililojengwa kwa mabati 

NA WYCLIFFE NYABERI  DARAJA la Nyamache, lililofanya baadhi ya wakazi wa eneobunge la Bobasi, Kaunti ya Kisii kuandamana Jumatatu, Aprili...