• Nairobi
  • Last Updated December 6th, 2023 9:00 PM

Walanguzi wa dawa za kulevya wasukumwa jela kula maharagwe

NA RICHARD MUNGUTI RAIA wa Tanzania amefungwa miaka 20 bila faini kwa ulanguzi wa dawa za kulevya zenye thamani ya...

Mshukiwa wa ulghai alivyotiririkwa na machozi akililia korti imwachilie  

NA RICHARD MUNGUTI WAFANYA biashara wawili wameshtakiwa kwa kumlaghai raia wa Malawi Dola za Amerika ($)445, 000 (sawa na Sh67,640,000...

Hapa vitenge na jezi tu: Sababu za Mkuu wa Utumishi wa Umma kuzima wafanyakazi kuvalia suti

Na MARY WANGARI WATUMISHI wa Umma wanatarajiwa kuvalia mavazi yasiyo rasmi kazini kuanzia Jumatano hadi Sikukuu ya Jamhuri, mnamo Disemba...

Pasta aliyekwama hotelini aomba asaidiwe na Sh370,000

NA TITUS OMINDE PASTA mwenye umri wa miaka 39 na wenzake wawili, wanaomba wasamaria wema kuwaokoa, baada ya kukamatwa na kuzuiliwa kwa...

Nilimnasa akigawa asali akadai simtoshelezi

Juzi nilimfumania mpenzi wangu na mwanamume mwingine. Ninamwamini sana na tukio hilo limeniacha hali mbaya. Alijitetea akisema...

Mkenya aanza kutembea kilomita 500 kuchangisha pesa za kujenga uga wa kisasa Kibra

NA FARHIYA HUSSEIN MKENYA amejipatia changamoto ya kutembea safari ya kilomita 488 kutoka Mombasa hadi Nairobi kuchangisha pesa za kujenga...

Watu sita waaga dunia Kikopey baada ya lori kupoteza mwelekeo na kuwagonga

NA MWANGI MUIRURI WATU sita wameripotiwa kuaga dunia katika mtaa wa Kikopey, Kaunti ya Nakuru huku wengine wakiachwa na majeraha mabaya...

Magwiji wa shindano la kunywa soda na kula boflo watuzwa  

NA MERCY KOSKEI GAVANA wa Trans Nzoia George Natembeya amewatunuku washindi walioshiriki katika shindano la kula siku ya Ijumaa, Desemba...

Raila aonya siasa isiingiziwe usimamizi wa Mumias

NA SHABAN MAKOKHA KINARA wa Azimio Raila Odinga amewataka viongozi wasiingize siasa kwenye usimamizi wa Kiwanda cha Mumias akionyesha...

Raila: Utawala wa kimikoa ufutiliwe mbali

NA WYCLIFFE NYABERI KINARA wa ODM Raila Odinga amesema utawala wa zamani wa kimikoa maarufu kama Provincial Administration unafaa...

Wanafunzi wa vyuo wanavyomezea mate mijibaba

NA RICHARD MAOSI WAMILIKI wa vilabu wanalalamikia ongezeko la idadi ya mabinti wa vyuo vikuu Nairobi wanaotembea na wanaume wazee rika ya...

Samidoh ampa mfuasi wake tonge la majibu

NA MERCY KOSKEI MWANAMUZIKI tajika wa nyimbo za Mugithi, Samuel Muchoki maarufu kama Samidoh amewaacha mashibiki wake wanaomfuatilia...