Hospitali ya Thika Level 5 yapokea dawa za Sh10 milioni

NA LAWRENCE ONGARO HOSPITALI ya Thika Level 5 imepata afueni baada ya kupokea dawa za thamani ya Sh10 milioni. Waziri wa Afya katika...

Polisi wapoteza bunduki wakijipiga ‘selfie’

NA MWANGI MUIRURI TABIA ya maafisa wa polisi vijana kupenda mitandao ya kijamii sasa inahatarisha taaluma za wakubwa wao katika Eneo la...

Maseneta wa Azimio watishia kuvuruga ajenda za serikali katika Seneti

NA COLLINS OMULO MASENETA wa Azimio sasa wanapanga kusambaratisha ajenda zote za serikali ya Kenya Kwanza zitakazowasilishwa katika seneti...

Shehena ya kwanza ya mahindi ya manjano kutua leo Jumapili

BARNABAS BII Na ANTHONY KITIMO SHEHENA ya kwanza ya mahindi ya manjano inatarajiwa kuingia nchini leo Jumapili. Japo meli hiyo iliyobeba...

Ashtakiwa kwa kumchoma ‘ex’ kwa maji moto

NA RICHARD MUNGUTI MWANAUME ameshtakiwa kumchoma kwa maji moto mkewe waliyetengana. Ezekiel Kikwatha alifunguliwa shtaka la kumuumiza...

Microsoft Digital kushirikiana na OCP Africa kuwapiga jeki wakulima

NA LAWRENCE ONGARO AMPUNI ya Huduma za kidijitali ya Microsoft imetangaza ushirikiano na shirika la OCP Africa kwa minajili ya kuwainua...

Waboni walia kupuuzwa katika umiliki wa ardhi

NA KALUME KAZUNGU VIONGOZI wa jamii ya walio wachache ya Waboni, kaunti ya Lamu wameikashifu serikali kuu na ile ya kaunti kwa...

Ashtakiwa kuua polisi

NA BRIAN OCHARO MWANAMUME mwenye umri wa miaka 24 aliyemkanyaga afisa wa polisi wa trafiki mjini Mombasa amefunguliwa mashtaka ya kuua...

Askofu Thagana apokea tuzo ya DIAR kwa juhudi zake za kuhimiza amani, utulivu

LAWRENCE ONGARO ASKOFU mkuu wa kanisa la Glory Outreach Assembly Kahawa Sukari, Bw David Munyiri Thagana amepokea tuzo ya tano ya amani...

Kanini Kega afurushwa mkutanoni

NA CHARLES WASONGA MWAKILISHI wa Kenya katika Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) Kanini Kega jana Alhamisi alifurushwa kutoka kwa...

Waziri Owalo awahimiza vijana watumie vyema mpango wa Jitume Digital Space

NA LAWRENCE ONGARO WANAFUNZI wa Chuo cha Thika Training Institute College wamehimizwa watie bidii na wanufaika na teknolojia ya...

Mfanyabiashara kizimbani kwa kumuuzia polisi ardhi hewa

NA JOSEPH NDUNDA MFANYABIASHARA aliyedaiwa kumtapeli afisa mkuu wa polisi Sh1.8 milioni kwa kumuuzia ardhi feki alishtakiwa Jumatano kwa...