• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

‘Ndovu’ Arsenal juu ya mti avisha Chelsea aibu ya 5-0

Na MWANGI MUIRURI MABAO ya Leandro Trossard (dakika ya 4), mawili ya Ben White (dakika za 52 na 70) na mawili ya Kai Hervetz (dakika za...

Kiragu ashikilia yeye ndiye kiongozi wa wachache, vita vya ubabe ndani ya UDA vikiendelea

NA WINNIE ONYANDO VITA vya ubabe ndani ya chama cha United Democratic Alliance (UDA) jana viliendelea huku kiongozi wa wachache Anthony...

Misa ya ukumbusho wa Jenerali Ogolla yaahirishwa

VICTOR RABALLA NA LABAAN SHABAAN IDARA ya Jeshi Kenya (KDF) imeahirisha misa ya ukumbusho wa marehemu Jenerali Ogolla iliyoratibiwa...

Murkomen: Afisi yangu haihusiki na uchunguzi wa ndege iliyoua Ogolla

HILARY KIMUYU NA LABAAN SHABAAN WAZIRI wa Uchukuzi Kipchumba Murkomen amesema wizara yake haitachunguza usalama wa ndege ya kijeshi...

Serikali saidia, king’ora chalia Gatong’ora Ruiru, mafuriko na majitaka yakikera wakazi

NA LABAAN SHABAAN AGHALABU jamii hutarajia mvua kuwa baraka kwao ila hali si hivyo kwa wakazi wa mtaa wa Gatong’ora eneobunge la Ruiru,...

Walaghai kuzimwa kupata msaada wa wanaoishi na ulemavu

NA KNA SERIKALI imeweka mipango maalumu ili walaghai wasinufaike na ufadhili unaotolewa kwa watu wanaoishi na ulemavu. Naibu Kamishna wa...

Kamata Linturi ikiwa unataka kujitakasa kuhusu mbolea feki, Khalwale aambia Ruto

Na SHABAN MAKOKHA SENETA wa Kakamega, Boni Khalwale, amemtaka Rais William Ruto kudhihirisha hayumo ndani sakata ya mbolea ghushi...

Kenya Power: Vijiji vyote vitakuwa na pikipiki, magari ya stima kufikia 2025

NA LABAAN SHABAAN  KILA Kijiji nchini kitakuwa na angalau chombo cha usafiri kinachotumia umeme kufikia mwaka wa 2015. Haya ni...

Wasiwasi usherati ukichacha katika kambi ya waathiriwa wa mafuriko

SHABAN MAKOKHA NA VICTOR RABALLA WAATHIRIWA wa mafuriko katika eneo la Bunyala, Kaunti ya Busia, wamelalamikia ongezeko la vitendo vya...

Kaunti ya Samburu yageukia maombi ili kukabili ujangili

NA GEOFFREY ONDIEKI UTAWALA wa Kaunti ya Samburu sasa umeamua kugeukia maombi kama njia ya kukomesha ujangili ambao umesababisha vifo vya...

Watu sita waangamia, saba wakipata majeraha katika ajali ya magari ya kibinafsi Narok

VITALIS KIMUTAI NA LABAAN SHABAAN WATU 6 wamefariki na wengine 7 kujeruhiwa katika ajali ya barabara Narok Jumapili usiku. Hii ni...

Madiwani wasuka tena mpango wa kumtimua Kawira

Na DAVID MUCHUI MASAIBU ya Gavana wa Meru, Kawira Mwangaza yanaendelea huku madiwani wakipanga jaribio la nne la kumbandua baada ya...