• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 7:55 PM

Tanzia mamake Askofu JJ Gitahi akiaga

NA WANDERI KAMAU MAMAKE mhubiri maarufu katika eneo la Mlima Kenya, Askofu JJ Gitahi, Bi Dorcas Gitahi, ameaga dunia. Bi Gitahi...

Msako wa lori lililoangamiza ‘Tiktoka’ Brian Chira

NA WANDERI KAMAU POLISI wameanza msako dhidi ya lori ndogo linalodaiwa kumgonga na kumuua ‘Tiktoka’ maarufu Brian Chira mnamo...

Watano wazuiliwa kuhusiana na mauaji ya askari gereza

NA ERIC MATARA POLISI katika eneo la Kilgoris, Kaunti ya Narok wanaendelea kuzuilia washukiwa watano kuhusiana na mauaji ya askari...

Wafanyakazi wa kiwanda cha sukari cha Nzoia kulipwa malimbikizo ya mshahara  

NA JESSE CHENGE  SPIKA wa Bunge la Kitaifa, Moses Wetang'ula, amewahakikishia wafanyakazi wa kiwanda cha sukari cha Nzoia kilichoko...

LSK yaonya kuhusu hatari ya kusafiria gari lisilo na bima

NA MWANGI MUIRURI  RAIS wa Muungano wa Wanasheria katika Kaunti ya Murang'a Bw Alex Ndegwa ameonya wenyeji dhidi ya kukodisha magari...

Tanzia: ‘Tiktoker’ maarufu Brian Chira aaga dunia kufuatia ajali

NA WANDERI KAMAU MSANII Brian Chira, mtumiaji maarufu wa mtandao wa Tiktok kufikisha ujumbe kwa mashabiki wake, ameaga dunia. Kulingana...

Kasisi anayedaiwa kunajisi msichana tineja arejeshwa rumande

NA LAWRENCE ONGARO KASISI James Kimani Kairu aliyekamatwa akidaiwa kumnajisi mtoto yatima, amerejeshwa rumande dhamana yake ya Sh30,000...

Seneti yapitisha mswada wa Wakenya kuendelea kulipa ushuru wa nyumba

COLLINS OMULO Na CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amepata ushindi katika mpango wa serikali yake kuendelea kuwatoza Wakenya ushuru wa...

Pombe: Shughuli zasimama sokoni Muthurwa washukiwa wakikamatwa

NA SAMMY KIMATU WASHUKIWA 56 wamekamatwa wakati wa msako dhidi ya pombe haramu uliofanyika Muthurwa katika Kaunti ya...

Arati afika kortini kwa kesi ya mji wa Keroka

NA WYCLIFFE NYABERI GAVANA wa Kaunti ya Kisii Simba Arati ametii agizo la Mahakama ya Mazingira na Ardhi ya Nyamira iliyomtaka afike...

Bei ya matumbo yapanda ghafla

NA MWANGI MUIRURI HUENDA mahasla mtaani sasa wawe wakionja nyama kwa wali wa bwerere wa Naibu Rais Rigathi Gachagua baada ya bei ya...

Maajenti wa kifo: Ripoti ya NTSA bodaboda zinavyoangamiza watu  

NA PETER MBURU WAKENYA kote nchini wako katika hatari ya kufariki, kupata majeraha au kulemazwa wakisafiri kwa pikipiki na kuacha familia...