• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 12:30 PM

Kinaya Babu Owino akitishia kupeleka maandamano Nyeri  

NA WANDERI KAMAU MNAMO Alhamisi, mbunge Babu Owino (Embakasi Mashariki) alitishia kupeleka maandamano katika Kaunti ya Nyeri, ikiwa...

Mvumbuzi wa ‘Kata Simu, Tupo Site’ akata kamba… Je, ulimjua?

NA WANDERI KAMAU TANZANIA inaomboleza kifo cha mcheshi Umar Iahbedi Issa almaarufu 'Mzee Mjegeje' aliyefariki mnamo Jumatano. Ripoti...

Rashid Echesa akosa kufika mahakamani kwa mara ya pili

NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA waziri wa Michezo Rashid Echesa aliyeamriwa na Mahakama kuu ashtakiwe upya mnamo Machi 4,2024 hakufika...

Muungano wa wafanyabiashara wasikitikia wanaotegemea wateja wa baa

NA MWANGI MUIRURI  MISAKO dhidi ya baa zinazohudumu siku nzima imelemaza mfumo kuendeleza uchumi kwa muda wa saa 24 mfululizo eneo la...

Anavyoteka hela kupitia viungo maalum vya kuku  

NA SAMMY WAWERU  ZICK Onyango alipopoteza ajira miaka kadhaa iliyopita, hakujua hatma ya maisha yake ikizingatiwa kuwa ni mume...

Ramadhani: Wachuuzi wa vyakula wakwepa hasara mbunge wa zamani akivinunua

NA CHARLES ONGADI  KUFUATIA hali ngumu ya maisha wafanyabiashara wa mapato ya chini na ya kadri hususan mashinani wamekuwa wakipitia...

Polisi wakataa kuzungumzia mauaji ya mlanguzi wa dawa

NA BRIAN OCHARO MLANGUZI wa mihadarati Yusuf Ahmed Swaleh, almaarufu Candy Rain, amekufa katika hali ya kutatanisha huku wakuu wa polisi...

Mbinu anazotumia Raila kushinda uenyekiti AUC

NA JUSTUS OCHIENG WAZIRI Mkuu wa zamani Raila Odinga ameanza mchakato wa kuandaa mbinu ya kushinda wadhifa wa mwenyekiti wa Tume ya Umoja...

Tanzia mamake Askofu JJ Gitahi akiaga

NA WANDERI KAMAU MAMAKE mhubiri maarufu katika eneo la Mlima Kenya, Askofu JJ Gitahi, Bi Dorcas Gitahi, ameaga dunia. Bi Gitahi...

Msako wa lori lililoangamiza ‘Tiktoka’ Brian Chira

NA WANDERI KAMAU POLISI wameanza msako dhidi ya lori ndogo linalodaiwa kumgonga na kumuua ‘Tiktoka’ maarufu Brian Chira mnamo...

Watano wazuiliwa kuhusiana na mauaji ya askari gereza

NA ERIC MATARA POLISI katika eneo la Kilgoris, Kaunti ya Narok wanaendelea kuzuilia washukiwa watano kuhusiana na mauaji ya askari...

Wafanyakazi wa kiwanda cha sukari cha Nzoia kulipwa malimbikizo ya mshahara  

NA JESSE CHENGE  SPIKA wa Bunge la Kitaifa, Moses Wetang'ula, amewahakikishia wafanyakazi wa kiwanda cha sukari cha Nzoia kilichoko...