NA KITAVI MUTUA WASHIRIKA wa kanisa moja katika Kaunti ya Kitui, ambalo pasta wake alipigwa risasi na polisi kwenye kwa dai la kuhusika...
Na JUSTUS OCHIENG RAIS William Ruto anaandaa mpango thabiti wa kuinua Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi baada ya kuibuka kuwa waziri huyo...
NA SAMMY KIMATU FAMILIA 2,600 katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Mariguini katika tarafa ya South ‘B’, kaunti ndogo ya Starehe...
NA WYCLIFFE NYABERI MWALIMU mwanablogu wa Kisii Duke Nyabaro, 31, ambaye mwili wake ulipatikana ukining'inia nje ya kibanda saa chache...
NA WYCLIFFE NYABERI POLISI eneo la Nyamache, Kaunti ya Kisii wamewatia mbaroni washukiwa wawili waliovamia nyumba ya Bw Orenge Nyabuto...
NA KITAVI MUTUA MAKACHERO katika Kaunti ya Kitui wanachunguza kisa cha Chifu wa lokesheni ya Kavuta eneo la Kitui ya Kati na mwanawe...
NA FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA Betty Kyalo, amefichua sababu za kushindwa kulipa kodi ya duka analomiliki, Flair by Betty salon katika...
NA WYCLIFFE NYABERI POLISI eneo la Transmara, Kaunti ya Narok wanachunguza kisa ambapo afisa wa kitengo cha RDU (Rapid Deployment Unit)...
NA WAIKWA MAINA WATAWA wa Kanisa Katoliki wamelalamikia idadi kubwa ya visa ambapo wakongwe wanatelekezwa na jamaa zao katika kaunti za...
NA WANDERI KAMAU WATU wanne walithibitishwa kufariki Jumapili, Aprili 7, 2024, baada ya basi walimokuwa wakisafiria kuanguka katika...
NA WYCLIFFE NYABERI POLISI mjini Kisii wameanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha mwalimu, ambaye mwili wake ulipatikana ukining'inia kwenye...
NA PADRI KAMUGISHA ASIYEKUWEPO na lake halipo. “Tunapokombolewa kutoka katika hofu zetu, uwepo wetu moja kwa moja unawakomboa...