• Nairobi
  • Last Updated June 2nd, 2023 9:28 PM

‘Nabii Yohana wa Tano’ ahojiwa na maafisa wa DCI, polisi

NA JESSE CHENGE MHUBIRI wa kanisa la Muungano Church for All Nations, Geoffrey Nakalira Wanyama,83, almaarufu 'Nabii Yohana wa Tano'...

Maporomoko yaua wanaume wawili wakilala pangoni Mama Ngina

NA WACHIRA MWANGI WANAUME wawili wameaga dunia kutokana na majeraha waliyopata huku mmoja akipigania maisha yake baada ya maporomoko ya...

Wanafunzi South B PEFA Academy wachagua viongozi wakihimizwa kukumbatia demokrasia

NA SAMMY KIMATU WANAFUNZI katika shule ya South ‘B’ PEFA Academy iliyoko kaunti ndogo ya Makadara wamejawa na tabasamu baada ya...

Polisi bandia anayehangaisha wakazi Nairobi

Na RICHARD MUNGUTI MWANAMUME anayejifanya polisi na kuhangaisha wakazi jijini Nairobi amekamatwa na kufunguliwa mashtaka. Polisi...

Wanaharakati wa mazingira wapigwa jeki mradi wa Sh20 milioni ukizinduliwa Lamu

NA KALUME KAZUNGU VIJANA wanaharakati wa uhifadhi wa mazingira katika Kaunti ya Lamu wana matumaini kwamba shughuli zao za kuhifadhi...

Bangi imeharibu ‘transfoma’ za vijana wengi Lamu – polisi

NA KALUME KAZUNGU IDARA ya polisi tarafa ya Mpeketoni, Kaunti ya Lamu imelalamika kwamba inapokea ripoti nyingi za mizozo ya wanandoa...

Stephen Lenamarle achaguliwa Spika mpya wa Samburu

NA GEOFFREY ONDIEKI MHESHIMIWA Stephen Lenamarle amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Kaunti ya Samburu. Bw Lenamarle amepata kura 23...

Vijana wa kurandaranda mtaani watupa mwili katika lango la kaunti

NA TITUS OMINDE  KIZAAZAA kilitokea katika lango la makao makuu ya Kaunti ya Uasin Gishu pale kundi la vijana wa kurandaranda mjini...

Polisi wapata viungo zaidi vya mwanamume

NA ALEX NJERU POLISI katika Kaunti ya Tharaka Nithi wamepata sehemu nyingine za mwili wa mwanamume kutoka kijiji cha Giankanja...

Serikali ya kaunti kutuza watunza mazingira

NA KALUME KAZUNGU SERIKALI ya Kaunti ya Lamu, imetangaza mpango wa kuwazawadi watunzaji mikoko na wapanzi wa miti eneo hilo kama njia...

Nakuru yapokea mitungi ya Oksijeni kuboresha huduma za afya

NA MERCY KOSKEI KAUNTI ya Nakuru imepokea mitungi 695 ya Oksijeni na vifaa vya usambazaji wa gesi hiyo kutoka kwa Amref Health...

Washukiwa 120 ndani kwa uchomaji mashine za kuchuma majani chai

NA VITALIS KIMUTAI POLISI katika Kaunti ya Kericho wamewakamata zaidi ya washukiwa 120 kuhusiana na maandamano, kufungwa kwa barabara na...