• Nairobi
  • Last Updated December 5th, 2023 8:55 PM

Mashirika yapigania haki ya ‘boychild’ visa vya ulawiti vikiongezeka Kilifi

NA MAUREEN ONGALA KWA miaka mingi visa vya dhuluma za kijinsia kwa watoto wa kike vimekuwa vikiripotiwa katika Kaunti ya Kilifi, hali...

Tamasha za Utamaduni: Mafuriko yarefusha muda wa wageni kukaa Lamu

NA KALUME KAZUNGU WAGENI na watalii waliohudhuria tamasha za utamaduni wa Lamu mnamo Jumapili waliendelea kukaa katika hoteli na gesti...

Vijana waonywa dhidi ya ngono bila kinga

NA WINNIE ATIENO NAIBU Gavana wa Taita Taveta Bi Christine Kilalo amesema serikali ya kaunti itashirikiana na washikadau wa afya ili...

Wezi wa nguo wanaojifanya maafisa wa Kenya Power

NA RICHARD MAOSI VISA vya wizi wa nguo zilizoanikiwa kwenye kamba baada ya kufuliwa ili kukauka vimeandikisha kuongezeka, hasa katika...

Watu wanne wafariki kwa kuangukiwa na mbao za ghorofa inayoendelea kujengwa Pangani

NA WINNIE ONYANDO WATU wanne wameaga dunia baada ya kuangukiwa na mbao katika ghorofa moja inayojengwa Pangani, Nairobi Wengine wanane...

Wakazi wa Juja waisuta serikali kwa utepetevu fisi wakiendelea kuua wanakijiji

NA MWANGI MUIRURI WAKAZI wa Juja wameingiwa na hofu baada ya fisi kumla mwanamke wa umri wa miaka 46, wiki moja baada ya kisa cha mtoto...

Wageni wataabika kupata vyumba vya kulala kipindi kizima cha tamasha za utamaduni Lamu

NA KALUME KAZUNGU UHABA mkubwa wa vyumba vya kulala unashuhudiwa kisiwani Lamu wakati ambapo makala ya 21 ya Tamasha za Utamaduni wa...

Naibu Gavana Kisii akabwa koo na ukoo wa Nyaribari akitakiwa kueleza ikiwa anaunga mkono Gavana Arati 

NA WYCLIFFE NYABERI BAADHI ya viongozi na wazee kutoka ukoo wa Nyaribari sasa wanamtaka Naibu Gavana wa Kisii Dkt Robert Monda kuweka...

El Nino: Hofu nyanda za juu Pokot Magharibi mmomonyoko wa udongo ukitishia wakazi 

NA OSCAR KAKAI WASIWASI umekumba wakazi wa nyanda za juu Kaunti ya Pokot Magharibi, wakihofia kuporomokewa na udongo kufuatia mvua ya El...

Wasiwasi wafugaji Narok wakihadaiwa kwa chang’aa kama tiba ya mifugo  

NA RICHARD MAOSI WAFUGAJI kutoka eneo la Eor –Nkitok, Kaunti ya Narok wametakiwa kuchukua tahadhari baada ya kuzuka kwa kundi la...

Tamasha za utamaduni wa Lamu kufanyika licha ya visa vya Kipindupindu kuripotiwa  

NA KALUME KAZUNGU MAELFU ya wageni na watalii kutoka pembe zote za Kenya na ulimwengu wanatazamiwa kufurika Kisiwani Lamu kwa...

Viongozi wa kisiasa Murang’a wanavyofunga ndoa Naibu Gavana akitoka sokoni

NA MWANGI MUIRURI NAIBU Gavana wa Murang’a Stephen Munania mnamo Jumamosi, Novemba 25, 2023 aliandaa harusi ya kipekee huku akiwa...