• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 6:55 PM

Aliyenaswa akiwa na pingu akana kujifanya polisi

NA BRIAN OCHARO MSHUKIWA wa uhalifu aliyekamatwa akiwa na pingu amekanusha mashtaka na kuachiliwa kwa dhamana ya Sh600,000. Bw Salim Muya...

Maandamano Kiganjo kupinga ‘udhalimu’ wa kanjo wa Kiambu

NA LAWRENCE ONGARO WAFANYABIASHARA na wanakijiji cha Kiganjo wapatao 1,000 waliandamana Jumatatu wakidai wananyanyaswa na askari (kanjo)...

Wanawe pasta ni miongoni mwa waliokumbana na ajali wakienda maombi

NA FLORAH KOECH SAA mbili asubuhi mnamo Jumapili, vijana zaidi ya 20 kutoka Kanisa la Kabukoki Revival lililoko Salabani, Baringo...

Hofu baada ya wanne kujeruhiwa na mifugo kuzikwa kwenye maporomoko ya tope

NA OSCAR KAKAI CHEPURAI Ng’oletiang, mwenye umri wa miaka 45, mama wa watoto watano alikuwa kwenye shughuli ya kuandaa chamcha majira...

Baada ya mbolea feki, wakulima sasa wanalia mbegu faafu za mahindi hazipatikani madukani

NA OSCAR KAIKAI MAELFU ya wakulima katika kaunti za Bonde la Ufa wamelalamikia ukosefu wa mbegu za mahindi hasa katika msimu huu wa mvua...

Mama afa akijaribu kuokoa mwanawe kwenye nyumba iliyoshika moto

NA JURGEN NAMBEKA MWANAMKE katika eneo la Madzindani, Kaunti ya Kilifi na mwanawe mwenye umri wa miaka miwili walifariki katika mkasa wa...

Ukatili: Mwanaharakati wa LGBTQ alinyongwa hadi kufa  

NA TITUS OMINDE MWANAPATHOLOJIA Mkuu wa Serikali, Dkt Johansen Oduor mnamo Jumanne, Aprili 9, 2024 aliambia Mahakama Muu mjini Eldoret...

Kisii yaruhusiwa kukusanya ushuru Keroka

NA RUTH MBULA SERIKALI ya Kaunti ya Kisii imepata ushindi wa awamu ya kwanza baada ya majaji wa Mahakama ya Rufaa walioketi Kisumu...

Wavuvi washauriwa kutumia vyema fidia ya Sh1.7b wakilipwa

NA KALUME KAZUNGU WAVUVI walioathiriwa na ujenzi wa Bandari ya Lamu wameshauriwa kutumia vyema fidia watakazopokea kutoka kwa Serikali ya...

Makachero wanasa washukiwa watatu wa wizi wa kimabavu

NA TITUS OMINDE WASHUKIWA watatu ambao wanahusishwa na misururu ya wizi wa kimabavu mjini Eldoret wamekamatwa na polisi na bastola moja...

Bei ya Omena yapanda maradufu kutokana na gharama ya maisha

Na KASSIM ADINASI BEI ya samaki aina ya dagaa almaarufu Omena, imepanda maradufu kutokana na kuongezeka kwa gharama ya maisha na mvua...

Sita waugua kwa kunywa maji ya sumu

NA KNA WATU sita wamelazwa hospitalini baada ya kunywa maji ya kisima yanayoshukiwa kuwa na sumu katika kijiji cha Ndemra, Kaunti ya...