Wafuasi wa Azimio Kilifi wataka Mnyazi, Chonga na Madzayo waachiliwe mara moja

NA ALEX KALAMA BAADHI ya wafuasi wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya katika Kaunti ya Kilifi wameitaka serikali ya kitaifa chini ya...

Biashara za hoteli, gesti zanoga Mokowe miaka mitatu baada ya bandari ya Lamu, barabara kukamilika

NA KALUME KAZUNGU BIASHARA za hoteli na gesti zinazidi kuchipuka na kunoga eneo la Mokowe, Kaunti ya Lamu tangu kufunguliwa rasmi kwa...

Wandani wa Ruto walia kuachwa nje ya teuzi mbalimbali serikalini

NA SHABAN MAKOKHA WASHIRIKA wa Rais William Ruto kutoka Kaunti ya Kakamega wamekosoa uteuzi wake wa Mawaziri Wasaidizi (CASs), wakidai...

Mchanga wa ufuoni unavyotia ladha njugu

NA JURGEN NAMBEKA KWA kawaida, mchanga mweupe wa baharini katika Pwani za Kenya huaminika kuwa sehemu ya kivutio kikuu cha utalii. Lakini...

Kisanga kituo cha polisi Nakuru wanaume 2 wakihubiri juu ya mti wakiwa uchi

NA MERCY KOSKEI KISANGA kilishuhudiwa Ijumaa katika Kituo Kikuu cha polisi Nakuru, baada ya wanaume wawili kukwea mti wakiwa uchi na...

Mbolea nafuu yatekwa na mabroka Kakamega

NA SHABAN MAKOKHA JUHUDI za serikali ya Kaunti ya Kakamega kuinua utoshelevu wa chakula huenda hazitatimia baada ya mabroka kuvamia mpango...

MCA atoa msaada wa chakula, malazi kwa familia 500 ambazo nyumba zao ziliteketea katika eneo la Mukuru-Commercial

NA SAMMY KIMATU FAMILIA zaidi ya 500 zilizoathirika katika wa mkasa wa moto Mukuru-Commercial, Kaunti ndogo ya Starehe walipigwa jeki...

Gavana Nassir aonya mawaziri wake dhidi ya uzembe

NA JURGEN NAMBEKA GAVANA wa Kaunti ya Mombasa, Bw Abdulswammad Nassir, amewaonya mawaziri wake dhidi ya...

Ashtakiwa kwa kutaka kumuua dadake Raila

NA BRIAN OCHARO MWANAMKE ameshtakiwa katika Mahakama ya Mombasa kwa madai ya kutishia kumuua afisa mkuu wa idara ya Mazingira katika...

Wezi wamwaga ‘manoti’, ukiokota unaingia mtego wa kuibiwa

NA MACHARIA MWANGI AINA mpya ya uhalifu imechipuka katika barabara za Naivasha ambapo kundi la walaghai wanazunguza wakijifanya kuangusha...

Jicho Pevu aponea shambulio la risasi

NA FARHIYA HUSSEIN MBUNGE wa Nyali, Bw Mohamed Ali, amenusurika baada ya watu wasiojulikana kufyatua risasi katika afisi zake. Kufuatia...

Diwani atoa hundi za basari kuwafaa wanafunzi 500, aahidi kutafutia vijana kazi kwenye viwanda

Na SAMMY KIMATU skimatu@ke.nationmedia.com WAZAZI wenye watoto wanaoishi na ulemavu wameombwa kutowaficha watoto wao nyumbani na badala...