• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM

Mwanamke azuiliwa kwa kupiga hadi kuua bintiye wa miaka 7

NA KEVIN MUTAI POLISI katika kaunti ndogo ya Lunga Lunga, Kwale wanachunguza kisa ambapo mwanamke wa umri wa miaka 30 alimpiga hadi...

Hoja yalenga kumng’atua waziri wa Ardhi Taita Taveta

NA LUCY MKANYIKA UTAWALA wa Gavana wa Taita Taveta Andrew Mwadime umeanza kukabiliwa na mawimbi makali baada ya hoja ya kumng’atua...

Mshonaji viatu atoa ardhi ya kujengwa shule

NA MAUREEN ONGALA UMASKINI mkubwa unaoendelea kuwakumba wenyeji na wakazi wa Kaunti ya Kilifi umechangia pakubwa...

Punda wakamatwa kwa kufunza watoto tabia mbaya

NA KALUME KAZUNGU WAMILIKI wa punda ambao huwaachilia wanyama hao kurandaranda ovyo mitaani kisiwani Lamu huenda wakaanza kuadhibiwa kwa...

Mwadime awatetea mawaziri wanaoshinikizwa kujiuzulu kwa kuzembea

NA LUCY MKANYIKA GAVANA wa Kaunti ya Taita Taveta Andrew Mwadime amewapuuza wakosoaji wake wanaomlaumu kwa kushindwa kuboresha sekta ya...

Hafla za mazishi Kisii zageuzwa jukwaa la viongozi kurushiana matusi

NA WYCLIFFE NYABERI WANASIASA na viongozi wa mirengo kinzani kutoka Kaunti ya Kisii sasa wameanza kugeuza hafla za mazishi majukwaa ya...

Matrekta yageuzwa mabasi ya shule Lamu

NA KALUME KAZUNGU UBUNIFU wa Shule ya Msingi ya Mwendo Bora iliyoko katika kisiwa cha Lamu wa kugeuza trekta kuwa basi la kuwabeba...

Sakaja motoni kwa ‘kusahau’ wakazi jijini

NA VINCENT ODUOR GAVANA wa Nairobi Johnson Sakaja amejipata matatani huku baadhi ya viongozi wakidai ametoroka kuwajibikia wakazi jijini...

Malandilodi Lamu warembesha nyumba bila kuvuruga upekee wa mji

NA KALUME KAZUNGU WAMILIKI wa nyumba za kupangisha, almaarufu ‘malandilodi’ katika mji wa kale wa Lamu, wana kibarua kigumu cha...

Familia zisizo na makazi zageuza maboti kuwa nyumba

NA KALUME KAZUNGU KWA kawaida binadamu makazi yake, hasa mahali pa kujistiri au kulala ifikapo usiku, huwa ni ndani ya nyumba. Nyumba...

Bungei akataa kuzungumzia tukio la mshukiwa wa mauaji kutoroka seli

NA SAMMY KIMATU KAMANDA wa Polisi katika Kaunti ya Nairobi Adamson Bungei mnamo Ijumaa alikataa kuzungumzia kisa cha mshukiwa wa mauaji ya...

Jeti ‘Mama Lao’ Lamu hatarini kuporomoka

NA KALUME KAZUNGU TAKRIBAN Sh400 milioni zinahitajika ili kuikarabati jeti 'Mama Lao' inayofahamika kama Fisheries na ambayo ni ya...