• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 4:10 PM

Serikali yafunga viwanda vitatu vya gesi Murang’a

NA MWANGI MUIRURI KAMATI ya usalama ya Murang'a Kusini ikiongozwa na Naibu Kamishna Gitonga Murungi ambaye pia ndiye mwenyekiti,...

Watu sita waaga dunia, watano wapofuka baada ya kubugia pombe ya sumu

NA MWANGI MUIRURI WATU sita wameaga dunia huku wengine watano wakipofuka macho kwa muda katika Kaunti ya Kirinyaga baada ya kubugia...

Hofu Kwale watoto wengi wakipata maambukizi ya macho mekundu

NA SIAGO CECE ZAIDI ya watu 300 wamepata maambukizi ya ugonjwa wa macho mekundu huku visa vya maambukizi hayo vikiongezeka katika Kaunti...

Biashara ya kumbi za kijamii yanoga mji wa Mokowe ukipanuka

NA KALUME KAZUNGU WAWEKEZAJI mjini Mokowe wameibukia biashara ya kujenga na kukodisha kumbi za kijamii ambayo inaonekana kufanya vyema...

Mama kanisa watano wafariki ajalini wakitoka eneo spesheli la Marian

NA MWANGI MUIRURI WINGU la simanzi limetanda katika Kanisa Katoliki tawi la Kaunti ya Murang'a baada ya mama kanisa watano kuaga dunia...

Lamu: Wanaowapa wendawazimu taka kutupa ovyo mjini waonywa

NA KALUME KAZUNGU MANISPAA ya kisiwa cha Lamu imeanzisha msako wa wakazi ambao wanadaiwa kuwabebesha wendawazimu na watu wenye matatizo ya...

Wanafunzi wajeruhiwa wakipinga kuhamishwa mwalimu mkuu

NA WYCLIFFE NYABERI WANAFUNZI watatu wa Shule ya Upili ya Gianchere Friends katika eneobunge la Nyaribari Chache, Kaunti ya Kisii...

Mzee adaiwa kumuua mwanawe kwa mzozo wa pesa

NA MWANGI MUIRURI MWANAMUME wa umri wa miaka 71 katika Kaunti ya Tharaka Nithi ametiwa mbaroni akidaiwa kumuua mtoto wake wa kiume wa...

Waliohamia ODM juzi waamua kurejea PAA

NA ANTHONY KITMO WANACHAMA wanne wa chama cha kisiasa cha Pamoja Africa Alliance (PAA), wameonekana kuyumbayumba kisiasa baada ya kurudi...

Mzee adai alisukumiwa kosa la unajisi kwa kudai deni

NA TITUS OMINDE  MZEE mwenye umri wa miaka 78 anayetumikia kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumnajisi msichana...

Wavunaji mchanga wachapa kazi licha ya kufukua mafuvu

NA KASSIM ADINASI UVUNAJI wa mchanga kwenye maeneo mengi ya Usonga katika Kaunti ya Siaya unakuja na makubwa yake, la hivi punde likiwa...

Mbunge wa Maragua kuendea maji ya wakazi Ikulu

NA MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Maragua Mary Wamaua ametisha kwamba atalazimika kuongoza maandamano ya wapigakura wake hadi Ikulu ya Nairobi...