• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 10:01 AM

Matrekta yageuzwa mabasi ya shule Lamu

NA KALUME KAZUNGU UBUNIFU wa Shule ya Msingi ya Mwendo Bora iliyoko katika kisiwa cha Lamu wa kugeuza trekta kuwa basi la kuwabeba...

Sakaja motoni kwa ‘kusahau’ wakazi jijini

NA VINCENT ODUOR GAVANA wa Nairobi Johnson Sakaja amejipata matatani huku baadhi ya viongozi wakidai ametoroka kuwajibikia wakazi jijini...

Malandilodi Lamu warembesha nyumba bila kuvuruga upekee wa mji

NA KALUME KAZUNGU WAMILIKI wa nyumba za kupangisha, almaarufu ‘malandilodi’ katika mji wa kale wa Lamu, wana kibarua kigumu cha...

Familia zisizo na makazi zageuza maboti kuwa nyumba

NA KALUME KAZUNGU KWA kawaida binadamu makazi yake, hasa mahali pa kujistiri au kulala ifikapo usiku, huwa ni ndani ya nyumba. Nyumba...

Bungei akataa kuzungumzia tukio la mshukiwa wa mauaji kutoroka seli

NA SAMMY KIMATU KAMANDA wa Polisi katika Kaunti ya Nairobi Adamson Bungei mnamo Ijumaa alikataa kuzungumzia kisa cha mshukiwa wa mauaji ya...

Jeti ‘Mama Lao’ Lamu hatarini kuporomoka

NA KALUME KAZUNGU TAKRIBAN Sh400 milioni zinahitajika ili kuikarabati jeti 'Mama Lao' inayofahamika kama Fisheries na ambayo ni ya...

Mwalimu ajiua kwa kukataliwa na ex, aacha mke mjamzito

NA GEORGE MUNENE MWALIMU wa shule ya sekondari kutoka kijiji cha Nthangathiri, Kaunti ya Embu, alijitia kitanzi ndani ya nyumba yake...

Fahamu msikiti maridadi zaidi kisiwani Lamu

NA KALUME KAZUNGU KISIWA cha Lamu ambacho ni ngome ya dini ya Kiislamu kina zaidi ya misikiti 40 inayopatikana kwenye maeneo au mitaa...

Huzuni miili ya mama kanisa ikifikishwa mochari ya Murang’a

NA MWANGI MUIRURI WINGU la simanzi lilitanda katika mochari ya Murang'a mnamo Jumanne wakati miili minne ya wanawake wahanga wa ajali...

Wakazi wa Kangai wateketeza baa ya mauti

NA GEORGE MUNENE WAKAZI wenye ghadhabu wameteketeza baa ambako watu sita Jumanne waliaga dunia huku watano wakipofuka macho kwa muda...

Serikali yafunga viwanda vitatu vya gesi Murang’a

NA MWANGI MUIRURI KAMATI ya usalama ya Murang'a Kusini ikiongozwa na Naibu Kamishna Gitonga Murungi ambaye pia ndiye mwenyekiti,...

Watu sita waaga dunia, watano wapofuka baada ya kubugia pombe ya sumu

NA MWANGI MUIRURI WATU sita wameaga dunia huku wengine watano wakipofuka macho kwa muda katika Kaunti ya Kirinyaga baada ya kubugia...