• Nairobi
  • Last Updated June 2nd, 2023 8:14 PM

Omtatah ataka vipengee tata 13 ving’olewe kwenye Mswada wa Fedha

NA RICHARD MUNGUTI SENETA wa Busia Okiya Omtatah ameanza mchakato wa kuokoa wananchi kwa kupeleka kesi katika Mahakama Kuu akiomba...

Polisi wawili wauawa na Al-Shabaab katika Kaunti ya Mandera

NA MANASE OTSIALO MAAFISA wawili wa polisi wameaga dunia huku wengine watano wakijeruhiwa kwenye shambulio la kigaidi katika Kaunti ya...

Omtatah awasilisha kesi kupinga Mswada wa Fedha 2023

NA RICHARD MUNGUTI SENETA wa Busia Okiya Omtatah amewasilisha kesi katika Mahakama ya Milimani jijini Nairobi leo Ijumaa akiiomba itie...

Upande wa mashtaka waomba Mackenzie aendelee kukaa kizuizini kwa siku 60 zaidi

NA WACHIRA MWANGI MHUBIRI wa kanisa la Good News International Paul Mackenzie amefikishwa katika Mahakama ya Shanzu jijini Mombasa leo...

Madaraka Dei: Viti vingi vyakosa wa kuvikalia uwanjani KMTC Siaya

NA KASSIM ADINASI WAKAZI wachache wa Kaunti ya Siaya wamejitokeza katika uwanja wa KMTC kuadhimisha makala ya 60 ya Madaraka Dei,...

Msitilie shaka Ada ya Ujenzi wa Nyumba, Rais awasihi Wakenya

NA MWANDISHI WETU RAIS William Ruto amewataka Wakenya wawe na imani na mpango wa serikali ya Kenya Kwanza kutaka asilimia tatu ya...

Gachagua: Wakenya wengi wanaamini mikakati ya Rais itaimarisha uchumi wa nchi

NA MWANDISHI WETU NAIBU Rais Rigathi Gachagua amesema anaamini Wakenya wengi wanaunga mkono mikakati ya Rais William Ruto kuikomboa...

Reuben Kigame aitaka Azimio isitishe vitisho kugawa nchi

NA TITUS OMINDE ALIYEKUWA mgombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu wa 2022 Reuben Kigame ametaka kiongozi wa Azimio la Umoja - One...

Sekta za elimu na miundomsingi zatengewa kiasi kikubwa cha mgao wa bajeti

EDWIN MUTAI Na CHARLES WASONGA SEKTA za elimu, miundomsingi na ulipaji deni ndizo zitafyonza sehemu kubwa ya mgao wa fedha katika Bajeti...

Madaraka Dei 2023: Rangi maridadi za vikosi vya pamoja vya usalama gwarideni

  NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto anaongoza taifa Alhamisi kuadhimisha Madaraka Dei, Juni 1, 2023.   Ni siku Kuu ambapo...

Mchango wa Shakahola kwa vita vya uhuru wa Kenya

NA MAUREEN ONGALA WAKATI Kenya inasherehekea sikukuu ya Madaraka Dei, jamii ya Wamijikenda inaendelea kukumbuka mchango wa msitu wa...

Madaraka Dei Juni 1, 2023

NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto Alhamisi, Juni 1, 2023 ataongoza taifa kuadhimisha Sikukuu ya Madaraka Dei 2023. [caption...