• Nairobi
  • Last Updated September 21st, 2023 8:30 PM

Waititu, mkewe Susan wana kesi ya kujibu katika kashfa ya Sh588m za ujenzi wa barabara

NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya kuamua kesi za ufisadi imeamua aliyekuwa gavana wa Kiambu Ferdinand Waititu, mkewe Susan Wangari na...

Vibanda vya mahasla kujitafutia riziki vyabomolewa South B

NA SAMMY KIMATU ZAIDI ya vibanda 600 vimebomolewa Alhamisi asubuhi katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Sokoni, South B, kaunti ndogo ya...

Programu ya kutatua migogoro kidijitali yazinduliwa nchini

NA FARHIYA HUSSEIN PROGRAMU ya kidijitali iliyoundwa kutatua mizozo ya mtandaoni baina ya watumiaji wa mitandao ya kijamii, imezinduliwa...

DCI kutoka makao makuu wafika Mombasa kuchunguza kifo cha mfanyakazi wa benki

NA FARHIYA HUSSEIN MAAFISA wa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) kutoka makao makuu Nairobi wamefika jijini Mombasa ili kuanzisha...

Wasioamini Mungu wataka kila familia iwe na mtoto mmoja

NA WINNIE ONYANDO CHAMA cha Wasioamini Mungu nchini kimetoa wito kwa serikali kuanzisha sera itakayomlazimisha mtu kuzaa mtoto mmoja ili...

Bilionea aliyeanzisha Equity Bank apigwa mnada

NA SIMON CIURI MALI ya mwanzilishi wa Benki ya Equity, bilionea Peter Munga itauzwa katika mnada kwa kushindwa kulipa mkopo. Mali...

Al-Shabaab waua mwanamume kwa kukataa kuwaonyesha vituo vya maangamizi zaidi

NA KALUME KAZUNGU MTU mmoja ameuawa kinyama kwa kuchinjwa wakati Al-Shabaab wametekeleza mashambulio na kuteketeza nyumba tano kwenye...

Maseneta wamkataza gavana kutengenezea mke wake ofisi

NA MARY WANGARI BUNGE la Kaunti ya Kakamega limeshutumiwa kwa kujishughulisha na uundaji wa sheria zisizopatia kipaumbele maslahi ya...

Visa vya mabweni kuteketea vyaongezeka

NA SHABAN MAKOKHA  MALI ya thamani isiyojulikana ilichomeka Jumatatu usiku, baada ya moto mkubwa kutokea katika mojawapo ya mabweni...

Maafisa kadhaa wa KDF wapoteza maisha kwenye ajali ya ndege msituni Boni

NA KALUME KAZUNGU MAAFISA kadhaa wa Jeshi la Ulinzi Kenya (KDF) wamepoteza maisha baada ya ndege yao kuanguka msituni Boni, kaunti ya...

Maina Njenga asema watekaji nyara walimpa yeye na msaidizi wake Sh2,000 za nauli

NA CHARLES WASONGA ALIYEKUWA kiongozi wa kundi haramu la Mungiki, Maina Njenga mnamo Jumatatu, Septemba 18, 2023, alielezea masaibu yake...

Atwoli: Sijakunja mkia, ningali mtetezi wa wafanyakazi

NA RICHARD MAOSI KATIBU Mkuu wa Muungano wa Kutetea Wafanyikazi Nchini (COTU) Francis Atwoli amejitetea dhidi ya shutuma za kusalia...