• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Wabunge kutoa heshima zao kwa marehemu Jenerali Ogolla

NA CHARLES WASONGA BUNGE la Kitaifa Jumatano litafanya kikao maalum cha kutoa heshima kwa marehemu Mkuu wa Majeshi (CDF) Jenerali...

Mawakili walafi wamulikwa kula fidia za waathiriwa wa ajali

NA JOSEPH OPENDA BAADHI ya mawakili wanawatesa na kuwahangaisha waathiriwa wanyonge wa ajali kwa kuwapokonya fidia kutoka kwa kampuni za...

Mkurugenzi kizimbani kwa kughushi wosia wa marehemu

NA RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Kampuni ya Pelikan Signs Limited inayochora alama za barabarani, ameshtakiwa kughushi wosia wa mmiliki wa...

Kiini cha masaibu ya Wa Iria

NA MWANGI MUIRURI ALIYEKUWA gavana wa Murang’a Mwangi wa Iria, mke wake Bi Jane Waigwe na aliyekuwa Kamishna wa Murang’a Bw Patrick...

Hofu kuhusu Leba Dei Cotu ikichunguzwa

Na JUSTUS OCHIENG KATIBU Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Kutetea Masilahi ya Wafanyakazi (COTU), Francis Atwoli, leo ameitisha mkutano...

Daktari atupwa jela miaka 12 kwa kupanga shambulio kwa kutumia bakteria ya kimeta

NA RICHARD MUNGUTI DAKTARI amehukumiwa kifungo cha miaka 12 jela, kwa kuwa mwanachama wa kundi la kigaidi. Dkt Mohamed Abdu Ali,...

Duale: Jenerali Ogolla alitumwa Bomas na wakubwa wake

NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Ulinzi Aden Duale amemtetea marehemu Jenerali Francis Ogolla dhidi ya madai kuwa ni miongoni mwa waliojaribu...

Jenerali Ogolla alikufa akitekeleza agizo la Ruto

NA OSCAR KAKAI JENERALI Francis Ogolla aliyefariki dunia katika ajali ya helikopta Alhamisi alikuwa katika ziara ya kutekeleza agizo la...

Mmiliki wa kilabu, wafanyakazi wake wapatikana na hatia ya kumuua mbunge wa zamani George Thuo

NA RICHARD MUNGUTI MMILIKI wa Porkies Club Paul Wainaina Boiyo na wafanyakazi wake watano wamepatikana na hatia ya kumuua aliyekuwa...

Sajini Mkuu John Kinyua alikuwa akutane na familia akitoka ziara ya kikazi Bonde la Ufa

Na GEORGE MUNENE FAMILIA ya Sajini Mkuu John Kinyua Mureithi aliyeangamia baada ya helikopta ya kijeshi kuanguka Alhamisi, ameacha familia...

Kapteni Litali alifariki akisubiri kupandishwa cheo kuwa meja

Na JOSEPH OPENDA FAMILIA ya Kapteni Hillary Shirekule Litali, aliyeangamia katika ajali ya ndege Alhamisi, imemtaja kama mchangamfu,...

Mkuu wa Majeshi kuzikwa jinsi alivyoagiza

WINNIE ONYANDO NA ANTHONY KITIMO MKUU wa Majeshi (KDF), Jenerali Francis Omondi Ogolla ambaye aliaga dunia Alhamisi Aprili 18, 2024 katika...