NA CHARLES WASONGA BUNGE la Kitaifa Jumatano litafanya kikao maalum cha kutoa heshima kwa marehemu Mkuu wa Majeshi (CDF) Jenerali...
NA JOSEPH OPENDA BAADHI ya mawakili wanawatesa na kuwahangaisha waathiriwa wanyonge wa ajali kwa kuwapokonya fidia kutoka kwa kampuni za...
NA RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Kampuni ya Pelikan Signs Limited inayochora alama za barabarani, ameshtakiwa kughushi wosia wa mmiliki wa...
NA MWANGI MUIRURI ALIYEKUWA gavana wa Murang’a Mwangi wa Iria, mke wake Bi Jane Waigwe na aliyekuwa Kamishna wa Murang’a Bw Patrick...
Na JUSTUS OCHIENG KATIBU Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Kutetea Masilahi ya Wafanyakazi (COTU), Francis Atwoli, leo ameitisha mkutano...
NA RICHARD MUNGUTI DAKTARI amehukumiwa kifungo cha miaka 12 jela, kwa kuwa mwanachama wa kundi la kigaidi. Dkt Mohamed Abdu Ali,...
NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Ulinzi Aden Duale amemtetea marehemu Jenerali Francis Ogolla dhidi ya madai kuwa ni miongoni mwa waliojaribu...
NA OSCAR KAKAI JENERALI Francis Ogolla aliyefariki dunia katika ajali ya helikopta Alhamisi alikuwa katika ziara ya kutekeleza agizo la...
NA RICHARD MUNGUTI MMILIKI wa Porkies Club Paul Wainaina Boiyo na wafanyakazi wake watano wamepatikana na hatia ya kumuua aliyekuwa...
Na GEORGE MUNENE FAMILIA ya Sajini Mkuu John Kinyua Mureithi aliyeangamia baada ya helikopta ya kijeshi kuanguka Alhamisi, ameacha familia...
Na JOSEPH OPENDA FAMILIA ya Kapteni Hillary Shirekule Litali, aliyeangamia katika ajali ya ndege Alhamisi, imemtaja kama mchangamfu,...
WINNIE ONYANDO NA ANTHONY KITIMO MKUU wa Majeshi (KDF), Jenerali Francis Omondi Ogolla ambaye aliaga dunia Alhamisi Aprili 18, 2024 katika...