• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 3:04 PM

Siasa za Nyanza, Opiyo Wandayi akipendekezwa kumrithi Raila Odinga

NA RUSHDIE OUDIA BAADHI ya washirika wa kiongozi wa Azimio la Umoja, Bw Raila Odinga, kutoka eneo la Nyanza, wameanza kumpendekeza...

Ruto kufadhili kampeni ya Raila kutwaa uenyekiti AUC

NA JUSTUS OCHIENG SERIKALI inapanga kuanzisha afisi na kutenga bajeti ya kumsaidia kiongozi wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga...

HELB na KUCCPS kufutiliwa mbali kwenye mswada mpya

NA DAVID ADUDA BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HELB) na Halmashauri ya Kuwateua Wanafunzi Kujiunga na Vyuo Vikuu na Vyuo Anuwai...

Rachel Ruto: Serikali itabuni kikosi kuombea polisi watakaotumwa Hati

NA WANDERI KAMAU MKEWE Rais William Ruto, Bi Rachel Ruto, ametangaza kwamba serikali itabuni kikosi maalum cha maombi, kwa lengo la...

Siasa za mrithi wa Ruto zinavyotishia umoja ngome yake

NA CHARLES WASONGA SIASA kuhusu nani atakayemrithi Rais William Ruto kama msemaji wa jamii ya Kalenjin baada ya kustaafu kwake kama rais...

Pembejeo Feki: Upinzani waweka presha mawaziri Linturi, Miano wajiuzulu

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wachache katika Bunge la Kitaifa Opiyo Wandayi amemtaka Waziri wa Kilimo Mithika Linturi na mwenzake wa...

Ruto, Kalonzo watofautiana kuhusu polisi kutumwa nchini Haiti

NA WANDERI KAMAU SUALA linalozua mdahalo mkali kwa sasa nchini ni kuhusu ikiwa Kenya itapeleka polisi wake nchini Haiti au la. Hili...

Wateule wa nyadhifa za ubalozi kumulikwa na wabunge kuanzia Aprili 4

NA CHARLES WASONGA WANDANI wa kisiasa wa Rais William Ruto, aliowateua kuwa mabalozi wa Kenya katika nchi mbalimbali za kigeni, sasa...

Maafisa wanasa magunia 560 ya mbolea ‘feki’ mjini Molo

NA CHARLES WASONGA MAAFISA kutoka vikosi vya usalama wamenasa magunia 560 ya mbolea inayoshukiwa kuwa bandia na iliyotarajiwa kuuziwa...

Wakulima wauziwa manyoya ya mbuzi na changarawe kama mbolea ya kisasa

NA CHARLES WASONGA MAAFISA wa upelelezi katika Kaunti ndogo ya Koibatek iliyoko Kaunti ya Baringo wamearifiwa kuhusu sakata ambapo...

Jinsi mhasibu alivyozamisha Sh16m kwa shamba hewa

NA RICHARD MUNGUTI MHASIBU anayeishi ng’ambo alitapeliwa zaidi ya Sh16 milioni kwa kuuziwa shamba hewa jijini Nairobi, hakimu mkuu...

Kalonzo aishambulia serikali kwa kukandamiza uhuru wa vyombo vya habari

NA WYCLIFFE NYABERI KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka ameishambulia serikali kwa kuyabagua magazeti huru kwa kuhepesha matangazo yake ya...