SOPHIA WANJIRU NA WANDERI KAMAU BEI ya vitunguu imepanda mjini Nyeri kutokana na kupungua kwa mavuno ya zao hilo. Hali hiyo imetajwa...
NA TITUS OMINDE VIONGOZI wa Kiislamu kutoka eneo la North Rift wameihimiza serikali ya kitaifa kuangazia matakwa ya madaktari ili...
NA CHARLES WASONGA AFISA wa Upelelezi wa Jinai na Uhalifu (DCI) Jumatano, Aprili 10, 2024, alikamatwa na maafisa wa Tume ya Maadili na...
NA RICHARD MUNGUTI KUSIKIZWA kwa kesi ya ulaghai wa shamba la Sh1.35 bilioni dhidi ya aliyekuwa Naibu Kamishna wa Nairobi, Davis Nathan...
NA ERIC MATARA KAUNTI 30 zimemulikwa kwa kukosa kutimiza usawa wa kikabila katika kuajiri wafanyakazi wake, kulingana na ripoti mpya...
Na RICHARD MUNGUTI SENETA Okiya Omutatah na maseneta wengine 21 wamerudi tena mahakama kukabana koo na Rais William kuhusu sheria ya...
COLLINS OMULO NA WANDERI KAMAU MMILIKI wa kampuni iliyopigwa marufuku kwa kusambaza mbolea ghushi nchini, jana aliwashangaza wabunge...
WANDERI KAMAU NA PCS RAIS William Ruto amesema kuwa Serikali na mashirika ya kidini yana jukumu la pamoja kushirikana...
NA WACHIRA MWANGI Kadhi Mkuu Abdulhalim Hussein ametangaza mwisho wa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani Jumanne baada ya kuonekana kwa...
MERCY KOSKEI NA VITALIS KIMUTAI MANUSURA pekee kutoka ajali iliyoua watu 7 jana katika eneo la Ngata, Kaunti ya Nakuru, anapokea matibabu...
NA WANDERI KAMAU ALIYEKUWA mbunge wa Mugirango Magharibi, Bw Vincent Mogaka Kemosi, amekataa uteuzi wake kama balozi wa Kenya nchini...
NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Usalama wa Ndani Kithure Kindii ametangaza Jumatano, Aprili 10, 2024 kuwa siku ya mapumziko. Siku hiyo...