• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 7:50 PM

Je, unajua kwa nini bei ya kitunguu haikamatiki saa hii?

SOPHIA WANJIRU NA WANDERI KAMAU BEI ya vitunguu imepanda mjini Nyeri kutokana na kupungua kwa mavuno ya zao hilo. Hali hiyo imetajwa...

Viongozi wa Kiislamu wahimiza serikali kutendea haki madaktari

NA TITUS OMINDE VIONGOZI wa Kiislamu kutoka eneo la North Rift wameihimiza serikali ya kitaifa kuangazia matakwa ya madaktari ili...

Mwindaji ageuka mwindwa: Afisa wa DCI akamatwa akiitisha hongo

NA CHARLES WASONGA AFISA wa Upelelezi wa Jinai na Uhalifu (DCI) Jumatano, Aprili 10, 2024, alikamatwa na maafisa wa Tume ya Maadili na...

Aliyekuwa Naibu Kamishna ashangaa kugeuzwa ‘mahabusu’ kwa ulaghai wa shamba la mabilioni  

NA RICHARD MUNGUTI KUSIKIZWA kwa kesi ya ulaghai wa shamba la Sh1.35 bilioni dhidi ya aliyekuwa Naibu Kamishna wa Nairobi, Davis Nathan...

Ukabila wachacha katika kaunti kuajiri wafanyakazi – Ripoti

NA ERIC MATARA KAUNTI 30 zimemulikwa kwa kukosa kutimiza usawa wa kikabila katika kuajiri wafanyakazi wake, kulingana na ripoti mpya...

Omtatah ashikana na maseneta 21 kurudi kortini kujaribu kuangusha tena Ushuru wa Nyumba

Na RICHARD MUNGUTI SENETA Okiya Omutatah na maseneta wengine 21 wamerudi tena mahakama kukabana koo na Rais William kuhusu sheria ya...

Mfanyabiashara aduwaza Bunge kukiri hakujua kilichokuwa kwa magunia aliyouza kama mbolea

COLLINS OMULO NA WANDERI KAMAU MMILIKI wa kampuni iliyopigwa marufuku kwa kusambaza mbolea ghushi nchini, jana aliwashangaza wabunge...

Ruto ataka makanisa yashirikiane na serikali kukabili maovu katika jamii

WANDERI KAMAU NA PCS RAIS William Ruto amesema kuwa Serikali na mashirika ya kidini yana jukumu la pamoja kushirikana...

Kadhi Mkuu atangaza rasmi mwisho wa Mfungo wa Ramadhani

NA WACHIRA MWANGI Kadhi Mkuu Abdulhalim Hussein ametangaza mwisho wa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani Jumanne baada ya kuonekana kwa...

Manusura pekee wa ajali iliyoua saba Ngata Bridge atambuliwa kuwa afisa wa polisi

MERCY KOSKEI NA VITALIS KIMUTAI MANUSURA pekee kutoka ajali iliyoua watu 7 jana katika eneo la Ngata, Kaunti ya Nakuru, anapokea matibabu...

Ruto kutafuta mtu mwingine baada ya Kemosi kukataa kazi ya ubalozi wa Ghana

NA WANDERI KAMAU ALIYEKUWA mbunge wa Mugirango Magharibi, Bw Vincent Mogaka Kemosi, amekataa uteuzi wake kama balozi wa Kenya nchini...

Kindiki atangaza Jumatano kuwa siku ya mapumziko, kuadhimisha Eid-ul-Fitri

NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Usalama wa Ndani Kithure Kindii ametangaza Jumatano, Aprili 10, 2024 kuwa siku ya mapumziko. Siku hiyo...