• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 6:47 AM

Si mbolea feki tu, dawa za kupulizia mimea pia zimepatikana kuwa na sumu

NA FRANCIS MUREITHI HUKU serikali ikikiri kwamba wakulima waliuziwa mbolea ghushi mwezi jana, uchunguzi mpya unaonyesha kuwa wanakodolea...

Ni kweli, wakulima wameuziwa mbolea feki, Serikali yaungama ikiahidi kuishtaki kampuni

Na FATUMA BARIKI Serikali sasa imekiri kwamba mbolea isiyo ya viwango sahihi vya ubora ilisambaziwa wakulima. Katika taarifa kwa...

Ruto aanza kupigia debe Raila apate kiti cha AUC

Na JUSTUS OCHIENG JUHUDI za Rais William Ruto za kumvumisha kiongozi wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga kama chaguo bora kwa...

Faye amteua mwandani wake kuwa Waziri Mkuu muda mfupi baada ya kuapishwa

DAKAR, Senegal Na MASHIRIKA RAIS mpya wa Senegal Bassirou Diomaye Faye amemteua mwanasiasa shupavu na mwandani wake, Ousmane Sonko...

Wazazi wataka madereva wa shule wachunguzwe umri, afya kufuatia ajali za kutisha

NA WINNIE ATIENO WAZAZI wameitaka serikali ya kitaifa kuchunguza madereva wa magari ya shule zote za umma ikiwemo msingi, sekondari na...

Washukiwa wa wizi wa watoto Eldoret wazuiliwa

NA TITUS OMINDE POLISI mjini Eldoret wamefichua mtandao wa washukiwa wa ulanguzi wa watoto ambapo wafanyakazi wa hospitali ya kibinafsi...

Hukumu ya ajabu padri mnajisi akipewa kifungo cha kuhubiri dhidi ya dhuluma za kimapenzi

NA BRIAN OCHARO PADRE wa Kanisa Katoliki mjini Mombasa aliyepatikana na hatia ya kumdhulumu kingono msichana mwenye umri wa miaka 16,...

Iko wapi gesi ya Sh500? Kilio mtungi wa kilo 13 ukiongezeka hadi Sh3,231

KABUI MWANGI NA WANDERI KAMAU BEI ya gesi ya kupikia iliongezeka na kufikia Sh3, 231 kwa mtungi wa kilo 13 mnamo Machi, mwelekeo ambao ni...

KNH kuzika miili 541 wenyewe wasipoenda kuichukua

Na HILARY KIMUYU HOSPITALI ya Kitaifa ya Kenyatta (KNH) inapanga kuzika maiti za watu 541 zilizoko kwenye hifadhi ikiwa jamaa zao...

Afueni kwa wake wa pili wakipata idhini kuzika mume

NA RICHARD MUNGUTI MKE wa pili katika ndoa yenye zaidi ya bibi mmoja sasa atakuwa huru kuzika mumewe. Afueni hii kwa wake wa pili,...

Magavana wakemewa kwa kutishia madaktari

NA GEORGE MUNENE MAGAVANA wameshutumiwa vikali kwa kutishia kufuta kazi madaktari wanaogoma na ambao wamelemaza huduma za afya kote...

Kaunti kutia mfukoni Sh35 bilioni kila mwaka

NA ERIC MATARA KAUNTI 21 zinamezea mate mapato ya zaidi ya Sh35 bilioni kila mwaka katika mpango wa Rais William Ruto wa kugawana 50:50...