• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 4:25 PM

Serikali yaambia Uhuru: Tumia ile afisi ya Kibaki lau sivyo usahau kulipiwa kodi

NA DAVID MWERE MVUTANO unatokota baina ya serikali ya Rais William Ruto na aliyekuwa kiongozi wa taifa Uhuru Kenyatta kuhusu chaguo la...

Polisi shujaa aliyesombwa na mafuriko akiokoa raia Muthurwa bado hajapatikana

Na MERCY KOSKEI FAMILIA ya polisi aliyesombwa na mafuriko jijini Nairobi baada ya mvua kubwa kunyesha, inaitaka serikali kuongeza juhudi...

Mnataka nijiuzulu? Mtasubiri sana, Nakhumicha aambia wakosoaji

NA SHABAN MAKOKHA WAZIRI wa Afya, Susan Nakhumicha, amewahakikishia Wakenya kwamba mazungumzo baina ya serikali na wahudumu wa afya...

Serikali mbioni kununua silaha mpya za kisasa kukabili ongezeko la uhalifu

NA STEVE OTIENO KENYA imo mbioni kununua silaha za kisasa za kivita kukabiliana na ongezeko la uhalifu nchini. Wiki iliyopita, Waziri wa...

Si mbolea feki tu, dawa za kupulizia mimea pia zimepatikana kuwa na sumu

NA FRANCIS MUREITHI HUKU serikali ikikiri kwamba wakulima waliuziwa mbolea ghushi mwezi jana, uchunguzi mpya unaonyesha kuwa wanakodolea...

Ni kweli, wakulima wameuziwa mbolea feki, Serikali yaungama ikiahidi kuishtaki kampuni

Na FATUMA BARIKI Serikali sasa imekiri kwamba mbolea isiyo ya viwango sahihi vya ubora ilisambaziwa wakulima. Katika taarifa kwa...

Ruto aanza kupigia debe Raila apate kiti cha AUC

Na JUSTUS OCHIENG JUHUDI za Rais William Ruto za kumvumisha kiongozi wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga kama chaguo bora kwa...

Faye amteua mwandani wake kuwa Waziri Mkuu muda mfupi baada ya kuapishwa

DAKAR, Senegal Na MASHIRIKA RAIS mpya wa Senegal Bassirou Diomaye Faye amemteua mwanasiasa shupavu na mwandani wake, Ousmane Sonko...

Wazazi wataka madereva wa shule wachunguzwe umri, afya kufuatia ajali za kutisha

NA WINNIE ATIENO WAZAZI wameitaka serikali ya kitaifa kuchunguza madereva wa magari ya shule zote za umma ikiwemo msingi, sekondari na...

Washukiwa wa wizi wa watoto Eldoret wazuiliwa

NA TITUS OMINDE POLISI mjini Eldoret wamefichua mtandao wa washukiwa wa ulanguzi wa watoto ambapo wafanyakazi wa hospitali ya kibinafsi...

Hukumu ya ajabu padri mnajisi akipewa kifungo cha kuhubiri dhidi ya dhuluma za kimapenzi

NA BRIAN OCHARO PADRE wa Kanisa Katoliki mjini Mombasa aliyepatikana na hatia ya kumdhulumu kingono msichana mwenye umri wa miaka 16,...

Iko wapi gesi ya Sh500? Kilio mtungi wa kilo 13 ukiongezeka hadi Sh3,231

KABUI MWANGI NA WANDERI KAMAU BEI ya gesi ya kupikia iliongezeka na kufikia Sh3, 231 kwa mtungi wa kilo 13 mnamo Machi, mwelekeo ambao ni...