NA TITUS OMINDE WAKAZI zaidi ya 20 walio wanachama wa ardhi ya jamii ya Sindar ambapo ajali iliyomuua Jenerali Francis Ogolla...
Na BENSON MATHEKA JENERALI Francis Ogolla ni mkuu wa majeshi wa kwanza wa Kenya kufariki dunia akihudumu na wa kwanza kufariki kupitia...
BENSON MATHEKA na OSCAR KAKAI KENYA inaomboleza kifo cha Mkuu wa Majeshi (KDF), Jenerali Francis Omondi Ogolla ambaye aliaga dunia...
NA CAROLINE WAFULA TAIFA LEO sasa imebaini kwamba helikopta ya KDF iliyohusika kwenye mkasa iliondoka katika Shule ya Sekondari ya...
Na CAROLINE WAFULA NDEGE ya Jeshi la Kenya imeanguka na kushika moto katika eneo la Sindar, lokesheni ya Kaben kwenye mpaka wa kaunti za...
NA MWANDISHI WETU JESHI la Kenya limekanusha kuhusika kwa wanajeshi wake katika tukio la kupigwa kwa polisi na kuvamiwa kwa kituo cha...
Na STANLEY NGOTHO POLISI wa Kitengela wamefichua mbinu fiche inayotumiwa na wauzaji pombe haramu ambapo wanatumia mikoba ya wanawake...
Na WAANDISHI WETU WIZARA ya Usalama wa Ndani imetoa ilani kuhusu uwezekano wa mafuriko zaidi kutokea katika sehemu mbalimbali nchini...
NA WINNIE ONYANDO WAZIRI wa Afya, Susan Nakhumicha, Jumatano alitoa wito kwa vituo vya Afya nchini kuwahudumia wagonjwa wanaotumia...
Na WAANDISHI WETU WAGONJWA wanaendelea kupoteza maisha kwa wingi nyumbani kufuatia mgomo wa madaktari unaoendelea kote nchini. Familia ya...
Na JOSEPH OPENDA MAKOSA ya mshukiwa mkuu katika mauaji ya kinyama ya wanawake katika eneo la Mawanga, Kaunti ya Nakuru, yaliyotekelezwa...
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI mkuu wa zamani wa makavazi ya kitaifa (NMK) Mzalendo Kibunjia ameshtakiwa kwa ulaghai wa Sh491...