• Nairobi
  • Last Updated December 2nd, 2023 1:45 PM

Waziri Alice Wahome aonya waajiri dhidi ya kukosa kutuma ushuru wa nyumba kwa KRA

NA WINNIE ONYANDO WAZIRI wa Ardhi, Alice Wahome amethibitisha kwamba ni lazima waajiri wote waendelee kukatwa Ushuru wa Nyumba kutoka kwa...

Wabunge wanaopeleka kisiri vipusa bungeni

NA CHARLES WASONGA  KIONGOZI wa Wengi katika Bunge la Kitaifa Kimani Ichung’wah ametishia kufichua majina ya wabunge wawili wa kiume...

Magavana ‘wamulika’ EACC  

NA CAROLINE WAFULA MAGAVANA watatu wamehimiza Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) kuangazia ufisadi katika kiwango cha...

Raila asuka mbinu mpya ya kupambana na serikali

JUSTUS OCHIENG na RUHDIE OUDIA KIONGOZI wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga anaonekana kubuni mikakati mipya ya kupambana na...

Ushuru wa nyumba ni haramu, mahakama yamwambia Ruto

Na RICHARD MUNGUTI  SERIKALI ya Rais William Ruto imepata pigo kubwa baada ya Mahakama Kuu kuharamisha sheria ya kuwatoza wafanyakazi...

Ufisadi: EACC yalaumiwa kumulika magavana na kuipendelea serikali kuu

NA CAROLINE WAFULA MAGAVANA watatu wamehimiza Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) kuangazia ufisadi katika kiwango cha Serikali...

Simba jike atishia kuangusha Ripoti ya Kamati ya Maridhiano endapo haitaangazia matakwa ya Mlima Kenya

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Githunguri Gathoni Wamuchomba ametishia kuangusha Ripoti ya Kamati ya Mazungumzo ya Maridhiano (NADCO)...

Hatimaye Serikali yatoa Sh10 bilioni kukabili athari za El Nino

BENSON MATHEKA Na FRIDAH OKACHI HATIMAYE serikali ya Kitaifa imetoa Sh10 billioni kwa serikali za Kaunti ili kukabiliana na athari za...

KNEC yatakiwa kuangazia dosari za KCPE kama kura za urais zinavyoshughulikiwa 

NA RICHARD MUNGUTI ZOEZI la watahiniwa wa Mtihani wa Kitaifa Darasa la Nane (KCPE) 2023 kujiunga na Kidato cha Kwanza mwaka ujao, 2024...

Raila: Ni kinaya serikali ya Ruto kutoza vijana ada kupata vitambulisho ikidai inawainua kimaendeleo    

NA WYCLIFFE NYABERI KINARA wa chama cha ODM, Raila Odinga amekashifu vikali mipango ya serikali ya kutaka kuongeza ada za kuchukua...

Raila: Serikali ya Ruto ni ya drama tupu, hata KCPE inahadaa wanafunzi?

NA WYCLIFFE NYABERI KINARA wa ODM Raila Odinga amekashifu vikali Baraza la Mitihani Nchini (KNEC) kwa dosari zilizotokea kwenye matokeo...

Magavana wataka KNEC kusuluhisha utata wa KCPE 2023

NA VITALIS KIMUTAI BARAZA la Magavana Nchini (CoG) sasa linataka Baraza la Kitaifa la Mtihani (KNEC) lisuluhishe utata ambao...