• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 8:50 AM

Wakazi wasema ‘propela ya helikopta ilikwama’

NA TITUS OMINDE WAKAZI zaidi ya 20 walio wanachama wa ardhi ya jamii ya Sindar ambapo ajali iliyomuua Jenerali Francis Ogolla...

Ogolla ni mkuu wa kwanza wa KDF kufariki akiwa mamlakani

Na BENSON MATHEKA JENERALI Francis Ogolla ni mkuu wa majeshi wa kwanza wa Kenya kufariki dunia akihudumu na wa kwanza kufariki kupitia...

Jenerali Ogolla, wanajeshi wengine 9 wafa katika ajali ya helikopta

BENSON MATHEKA na OSCAR KAKAI KENYA inaomboleza kifo cha Mkuu wa Majeshi (KDF), Jenerali Francis Omondi Ogolla ambaye aliaga dunia...

Helikopta iliyoanguka ilikuwa eneo ambako KDF inakarabati shule kufuatia agizo la Rais

NA CAROLINE WAFULA TAIFA LEO sasa imebaini kwamba helikopta ya KDF iliyohusika kwenye mkasa iliondoka katika Shule ya Sekondari ya...

Ndege ya KDF yaanguka na kushika moto, watu watano wathibitishwa kufariki

Na CAROLINE WAFULA NDEGE ya Jeshi la Kenya imeanguka na kushika moto katika eneo la Sindar, lokesheni ya Kaben kwenye mpaka wa kaunti za...

Jeshi lakanusha kuhusika katika tukio la kupiga, kuvamiwa kwa kituo cha polisi

NA MWANDISHI WETU JESHI la Kenya limekanusha kuhusika kwa wanajeshi wake katika tukio la kupigwa kwa polisi na kuvamiwa kwa kituo cha...

Polisi sasa wagundua mbinu mpya zinazotumiwa na wauzaji chang’aa

Na STANLEY NGOTHO POLISI wa Kitengela wamefichua mbinu fiche inayotumiwa na wauzaji pombe haramu ambapo wanatumia mikoba ya wanawake...

Wizara yatoa onyo la mafuriko mabwawa ya Masinga, Kindaruma yakivunja kingo

Na WAANDISHI WETU WIZARA ya Usalama wa Ndani imetoa ilani kuhusu uwezekano wa mafuriko zaidi kutokea katika sehemu mbalimbali nchini...

Nakhumicha ataka hospitali zikubali NHIF akisema madeni yote yatalipwa

NA WINNIE ONYANDO WAZIRI wa Afya, Susan Nakhumicha, Jumatano alitoa wito kwa vituo vya Afya nchini kuwahudumia wagonjwa wanaotumia...

Watu wafia majumbani madaktari wakigoma

Na WAANDISHI WETU WAGONJWA wanaendelea kupoteza maisha kwa wingi nyumbani kufuatia mgomo wa madaktari unaoendelea kote nchini. Familia ya...

Mshukiwa wa ujambazi asimulia walivyoua wanawake alipokuwa genge la Confirm Nakuru

Na JOSEPH OPENDA MAKOSA ya mshukiwa mkuu katika mauaji ya kinyama ya wanawake katika eneo la Mawanga, Kaunti ya Nakuru, yaliyotekelezwa...

Mkurugenzi wa zamani wa makavazi Mzalendo Kibunjia ashtakiwa kwa wizi wa Sh491m

Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI mkuu wa zamani wa makavazi ya kitaifa (NMK) Mzalendo Kibunjia ameshtakiwa kwa ulaghai wa Sh491...